fadtanji
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 767
- 998
Kweli jitathmini, usawa huu ukiwa unabajet kubwa sana hutaweza kufanya maendeleo mengine.ndo mana nikaona nijitafakari, ahsante mkuu
Note; Nna mke kwahyo vitu k.m maharage,mchele, dagaa, sukari, unga, mafuta nanunua jumla na sio rejareja huwa inasaidia kupunguza gharama.