Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
Kuna mdada hapo amevaa tisheti nyeupe, mbona Kama nilishawahi Kummm..... ๐ฒ๐ฎ๐๐๐ณ๐ฅบHongera JF.View attachment 2639707
Mmhhh!!!! Au ndio sababu watu wanasemaga watu humu ndani wana sura za baba zao??Hongera JF.View attachment 2639707
Upande wa kulia yule jamaa mwenye minywele ndio mwenyeweNdo Hawa wanaotupiga ban au?
Ina watu wengi ila Mipangilio ovyo, kusechi posts kwa title ni shida, huwezi hata kupandisha muziki wala video.Kuna li kitu linaitwa nairaland Kuna watu wenye ongezeko la akili duniani au kule ni wapi mkuu
Acha uongooIna watu wengi ila Mipangilio ovyo, kusechi posts kwa title ni shida, huwezi hata kupandisha muziki wala video.
Niletee post yoyote ya nairaland ambayo ina video iliyopandishwa humo humo kwenye servers za nairaland, Nimesimama hapa nakusubiri >>>Acha uongoo
Sifa za bure..mtandao kila mara unakorofisha angalia tatizo la picha kufunguka lina muda gani na wanaona fresh tu[emoji706]
Picha Ni changamoto Kiongozi punguza ubishiHuwa unaunga bando au unatumia free mode ?
Isije ikawa unatumia free mode kama fb unalalamika hakuna picha.
Hapa huoni picha ?
Nimelifatilia tatizo hili, suluhisho la kudumu ni kutumia browser kama google chrome unayoweza kuipata playstore.Picha Ni changamoto Kiongozi punguza ubishi
sas unafkri jf unaeza tumia bure bila bandohata ukitia bando ?
Imebidi nifatilie hili tatizo mkuu,sas unafkri jf unaeza tumia bure bila bando
yaan iko hv kwa watumizi wa app inasmbua picha nyng hazfunguki yaan, ila ukitumia browser freshImebidi nifatilie hili tatizo mkuu,
Tumia browser kama google chrome.
Nimelifatilia tatizo hili, suluhisho la kudumu ni kutumia browser kama google chrome unayoweza kuipata playstore.yaan iko hv kwa watumizi wa app inasmbua picha nyng hazfunguki yaan, ila ukitumia browser fresh
Daaa โน๏ธUpande wa kulia yule jamaa mwenye minywele ndio mwenyewe
Yaani nitumie browser! basi wangeifuta App isiwepo kabisa kama wameshindwa jambo dogo kama hilo.Nimelifatilia tatizo hili, suluhisho la kudumu ni kutumia browser kama google chrome unayoweza kuipata playstore.
Uongozi wa jamiiforums mlifanyie hili kazi maana wengi sikuhizi wamezoea app.
Tatizo wabongo wengi Bado tunasumbuliwa na adui aitwae UJINGAUkweli ni kwamba mitandao ya wenzetu wanajadili hoja kwa hoja na wanakuwa na data. Tofauti na JF wachangiaji walio wengi tunachangia kishabiki, uwezo wa kujenga hoja haupo na kuna vinara wakuhamisha mantiki ya mijadala kwa kuingiza mambo binafsi na kufanya JF iwe kama NIMBUZZ..