[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi sawaaahHao hawanihusu. Nyie wanawake ndo muwatolee maoni.
Okay and you have a point. But kumbuka in the background system lazima ina namna ya ku track ID haijalishi itabadilishwa kwa utaratibu wa sasa au ninao u suggest na hivyo kama kuna maudhui ya kukera na ID ikawa reported bado member atawajibika tu kwa kutumikia adhab kulingana na utaratib kama ulivyo sasa.Hili sikubaliani nalo. Lazima uwajibike na Kila kitu ulichokiweka mtandaoni. Kukwepa kutambulika kwa uliyoyaandika ni njia mojawapo ya kushawishi iwepo furusa ya kuwepo lugha za kuudhi hapa.
Katu hatuwezi kukubali sisi wanachama kindakindaki wa JF.
I understand you ingawa idea ya bots hapo naona kama ipo tofauti kidogo na hii ya kuwa na IDs nying like hapa JF.Kuna aina mbalimbali za business strategies. SiseminJF wanaitumia hii. Biashara ya mtandao ni kuwa na members ama followers Sasa unadhani ili mtandao uwe na users milioni mia unatakiwa utumie njia ipi? "Tweeter" wenyewe inasemekana wanawekwa Hata "bot" kuonyesha Wana base kubwa ya members. Sasa hapo utashangaa nini?
Naira mbaya mno, mno, ina mpangilio wa hovyo. Sema una content nzuri hasa za IT.View attachment 2639816
Ni kweli Jamii forum bado inaweza kuonekana ya kawaida katika level za dunia lakini nathubutu kusema kwamba katika level zetu za hapa Africa, huu ndio mtando wenye wafuasi wengi na uliopangilika zaidi,
Najua wanaijeria wana forum yao inaitwa Nairaland.com, ni kongwe zaidi na ina members wengi lakini miundombinu yake ni hohe hahe!! huwezi hata kutafuta post kirahisi kwa title, huwezi kupandisha video, muziki, pdf, n.k.
Kenya Talk wamejitahidi kwenye mpangilio, kuna vitu vichache wakiongeza watakuwa sawa na jf mfano night mode, filters, n.k. Shida inakuja kwamba Kenya Talk bado members ni wachache na inapelekea michango iwe michache, kawaida sana kukuta post ina wachangiaji wasiozidi hata 10, nadhani hii ni sababu ya ugeni wake ilianzishwa mwaka 2014 wakati ambao tayari wakenya wameshazoea facebook, Ni tofauti na Jamii forums ilianza zamani miaka ya 2006
Nchi za subsaharan Africa ni hizi zetu nje ya mataifa yaliyojaa waarabu wa huko kaskazini kama Misri, Moroco, Algeria, n.k
Kuna Mnyarwanda aliniambia anatamani sana Rwanda kuwe na mtandao huru kama JF.
Hao kwenye picha ndo mods?Hongera JF.View attachment 2639707