Nipo Tayari kukosolewa: Hadi sasa Hakuna mtandao maarufu uliopangika zaidi ya JamiiForums kwa nchi zote za Sub saharan Africa

Nipo Tayari kukosolewa: Hadi sasa Hakuna mtandao maarufu uliopangika zaidi ya JamiiForums kwa nchi zote za Sub saharan Africa

Hili sikubaliani nalo. Lazima uwajibike na Kila kitu ulichokiweka mtandaoni. Kukwepa kutambulika kwa uliyoyaandika ni njia mojawapo ya kushawishi iwepo furusa ya kuwepo lugha za kuudhi hapa.

Katu hatuwezi kukubali sisi wanachama kindakindaki wa JF.
Okay and you have a point. But kumbuka in the background system lazima ina namna ya ku track ID haijalishi itabadilishwa kwa utaratibu wa sasa au ninao u suggest na hivyo kama kuna maudhui ya kukera na ID ikawa reported bado member atawajibika tu kwa kutumikia adhab kulingana na utaratib kama ulivyo sasa.
Mind you, i believe usifikiri id name hiz unazo ziona ndio hasa JF inatumia ku track members, hapana...unaweza kuta wewe Id yako inatambulika kama TUJITEGEMEE lakin kwenye Database ya users una Unique id number like 0001 ambayo hii ndio huwa hai change hata siku moja kwakua ni automatically generated by default inayotengenezwa na mfumo na hii ndio inatunika kama reference point pindi unapo update kwenda id name nyingine.

Hivyo hii haita ondoa ile dhan ya uwajibikaji lakin itaficha utu wa kale wa mtu machoni pa members wengine.
 
Kuna aina mbalimbali za business strategies. SiseminJF wanaitumia hii. Biashara ya mtandao ni kuwa na members ama followers Sasa unadhani ili mtandao uwe na users milioni mia unatakiwa utumie njia ipi? "Tweeter" wenyewe inasemekana wanawekwa Hata "bot" kuonyesha Wana base kubwa ya members. Sasa hapo utashangaa nini?
I understand you ingawa idea ya bots hapo naona kama ipo tofauti kidogo na hii ya kuwa na IDs nying like hapa JF.

Bots wanakua fake users (not human) but they always active and their activities kwenye platforn can be traced.

Hapa JF all IDs ni za real users but most of them are abandoned and hence they are inactive.
The count reads high, but you cant trace the activeness of these IDs hapa jukwaani na unakuta id ina some last seen 2018. Lakin huyu mwenye hii ID yuko jukwaan kwa ID nyingine.Sasa huoni kama unajidanganya mwenyewe kuwa una members wengi kumbe ki uhalisia sivyo ilivyo
 
Huijui Nairaland wewee.
Unafikiri kwa kuwashobokea JF ndo watakupa teuzi za u-Mod??
JF ni TZ tu hata KE bado haijatoboa
 
Mtu una sign out wao wanaku sign in, unalalamika wapo kimya wala hawatikisiki, picha hazifunguki, kwa sie wenye App,

Bado sana
 
View attachment 2639816
Ni kweli Jamii forum bado inaweza kuonekana ya kawaida katika level za dunia lakini nathubutu kusema kwamba katika level zetu za hapa Africa, huu ndio mtando wenye wafuasi wengi na uliopangilika zaidi,

Najua wanaijeria wana forum yao inaitwa Nairaland.com, ni kongwe zaidi na ina members wengi lakini miundombinu yake ni hohe hahe!! huwezi hata kutafuta post kirahisi kwa title, huwezi kupandisha video, muziki, pdf, n.k.

Kenya Talk wamejitahidi kwenye mpangilio, kuna vitu vichache wakiongeza watakuwa sawa na jf mfano night mode, filters, n.k. Shida inakuja kwamba Kenya Talk bado members ni wachache na inapelekea michango iwe michache, kawaida sana kukuta post ina wachangiaji wasiozidi hata 10, nadhani hii ni sababu ya ugeni wake ilianzishwa mwaka 2014 wakati ambao tayari wakenya wameshazoea facebook, Ni tofauti na Jamii forums ilianza zamani miaka ya 2006

Nchi za subsaharan Africa ni hizi zetu nje ya mataifa yaliyojaa waarabu wa huko kaskazini kama Misri, Moroco, Algeria, n.k
Naira mbaya mno, mno, ina mpangilio wa hovyo. Sema una content nzuri hasa za IT.
Ila it is very unattractive!
Labda kama wamerekebisha sasa.
 
Back
Top Bottom