Kweli brooo jamaa anaweza kufanya kazi hyo bila kutetereka..naunga mkono hojaWakuu kwa moyo mkunjufu kabisa kutokana na story kwamba huyu mzee hakuwa na ajira na wakati mwingine alilala bila Kula, nipo tayari kumpatia huyu mzee ajira Mara tu atakapo maliza maswala ya kesi inayomkabili.
Nitamwajiri kama bwana masoko kwenye duka langu
Nipo serious kama kuna wandishi au askari au yeyote atakayenikutanisha naye anijulishe kwa simu hii
0653551607
Jamani mpepeeni mteja, mteja ni mfalme.Milion 1 itapendeza
Wakuu kwa moyo mkunjufu kabisa kutokana na story kwamba huyu mzee hakuwa na ajira na wakati mwingine alilala bila Kula, nipo tayari kumpatia huyu mzee ajira Mara tu atakapo maliza maswala ya kesi inayomkabili.
Nitamwajiri kama bwana masoko kwenye duka langu
Nipo serious kama kuna wandishi au askari au yeyote atakayenikutanisha naye anijulishe kwa simu hii
0653551607
Vijana wenye maarifa vyeki..!me nakushauri uwaajili vijana wenzio
Wakuu kwa moyo mkunjufu kabisa kutokana na story kwamba huyu mzee hakuwa na ajira na wakati mwingine alilala bila Kula, nipo tayari kumpatia huyu mzee ajira Mara tu atakapo maliza maswala ya kesi inayomkabili.
Nitamwajiri kama bwana masoko kwenye duka langu
Nipo serious kama kuna wandishi au askari au yeyote atakayenikutanisha naye anijulishe kwa simu hii
0653551607
Dr yupo vzr sana,nimeona comedian uchwara wa bongo now wanasafiria nyota ya dr shikaDk shika ishakua brand tayar. Jina kubwa makampuni mtafuteni Mzee mfanye nae biashara hasa kwenye mambo ya promotions[emoji3][emoji3][emoji3] [HASHTAG]#itapendeza[/HASHTAG]
Mungu akujalie, hakika wewe ni mbunifu,Wakuu kwa moyo mkunjufu kabisa kutokana na story kwamba huyu mzee hakuwa na ajira na wakati mwingine alilala bila Kula, nipo tayari kumpatia huyu mzee ajira Mara tu atakapo maliza maswala ya kesi inayomkabili.
Nitamwajiri kama bwana masoko kwenye duka langu
Nipo serious kama kuna wandishi au askari au yeyote atakayenikutanisha naye
anijulishe kwa simu hii
0653551607
Nchi zilizoendelea huyu bwana ma agents wangekuwa wanagongana mlangoni kwake wampe tender za Marketing, anafaa kutangaza bidhaa, hasa kwenye TV, any takers?Mungu akujalie, hakika wewe ni mbunifu,
Huyu bwana kwa sasa ni kivutio kwa macho ya wengi, hivyo kwa marketing ni chaguo halisi, pia yeye binafsi ni full confidence na hivyo kwenye Presentation yuko fit. Pia kwa lugha nadhani ni linguistic sababu ni hii. *Sukuma. Swahili.English.*Russian.
Kabisa mkuuNchi zilizoendelea huyu bwana ma agents wangekuwa wanagongana mlangoni kwake wampe tender za Marketing, anafaa kutangaza bidhaa, hasa kwenye TV, any takers?
Mi naongeza 900 itapendeza zaidi..hata me namhitaji zaidi naongeza 50