Nipo tayari kumpa ajira Dr. Shika, mshahara laki 5

Mh! Huyo anaweza kuwaajiri nyie ,level nyengine hiyo , anajua anafanya Nini na kwa Nini...
 
Mbona hujasema unakaa wapi
 
Nadhani kuishi kwake kimaskini si kwa kuwa hana hela ila alikuwa anakwepa iwaliomkata vidole wasimtambue. Hela anayo ila haiko Tz
 
Hata mimi namhitaji huyo mzee aendeshe zahanati yangu. Naongeza 900 itapendeza
 
Ukinisaidia hyo kaz kunpa mm ntashukuru sana mkuu..
Mkuu huyo mzee huwezi mlinganisha na mtu yeyote kwa sasa katika marketing kwa yeye kukaa sehemu yako ya biashara tu ni milionea
 
Mkuu huyo mzee huwezi mlinganisha na mtu yeyote kwa sasa katika marketing kwa yeye kukaa sehemu yako ya biashara tu ni milionea
Mkuu kumpta hyo mzee sio kaz rahisi kama unahtaji mfnya kaz m nipo mkuu nipe riziki hyo
 
Pesa ndogo hyo kwa Dr. Angalia elimu yake na mapesa anAyo tarajia kuyapata
 
aliyekuambia hana kazi ni nani! pale kijiweni anapkaa yupo kazini
 
Dk shika ishakua brand tayar. Jina kubwa makampuni mtafuteni Mzee mfanye nae biashara hasa kwenye mambo ya promotions[emoji3][emoji3][emoji3] [HASHTAG]#itapendeza[/HASHTAG]

tena watu wa mitandao kama Tigo watafanya poa sana kumtumia huyu mtu kutangaza promotion zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…