Nipo tayari kumuoa ila yeye hayupo tayari, mnanishauri nini?

Nipo tayari kumuoa ila yeye hayupo tayari, mnanishauri nini?

Wadau Saluti

Nipo na huyu mwanamke yeye ana kama miaka 20 hivi anasifa zote za kuwa Wife Materials, yeye anashona cherehani mbali na kushona hanaga harakati nyengine yaani katulia 100%

Mimi naona umri umeenda na sio wakati wa kuwa na mahusiano yasio rasmi hivyo nataka kuoa ila nikimwambia nia yangu nikajitambulishe kwao hataki sijui utoto sijui nini. Bado naendelea nae ila namchulia mtu asiye serious kwasasa natafuta mwanamke mwengine aliye serious niende nae huyu nimbwage.

Hapa munanishauri vipi wadau
Piga miti huku ukiendelea kutafuta mke ukishapata unaachana naye aendelee kuchezewa.
 
tatizo utoto ndio unakusumbua, nini sasa hiki umeandika? Huyo dem ashaona hawezi kuolewa na mlamba lips wa makumbusho kazi kuvaa vinjubga, socks ndefu na yeboyebo na kufuga mandevu kama taliban
Rubbish 🚮🚮
 
Hakikisha unampiga mshede kwa sana na unampotezea kiaina ataanza mwenyewe kujaa kwenye mfumo maana yawezekana ulikuwa unampelekea moto kidogo ukijali kwamba ndo wife mambo ndo hayo sasa kakuvimbia peleka moto kama ndo mara yako ya kwanza kuona hiyo kitu uone matokeo.
NB: KATAA NDOA NI UTAPELI
 
Bado watoto unakimbilia nini ndugu ? Maisga ndoa safaro ndefu sanaa mtachokanaaaabmapema sana sasa vuta vuta hadi ukiwa 28 hukooo
 
Ni kawaida hyo mim mwenyew nipo kwenye late 20's lakin wadada weng wanajua nipo na miaka 24 au 25 huw nawatania unajua mm ni kaka yenu hawaamini, utani mwing sana lakin iko hivi mwanaume usije ukajichanganya kuoa mwanamke unayelingana naye umri yaan wanazeeka haraka sana hawa viumbe!!!
Big Nyota Kwasababu ipi huwa wanazeeka mapema, mkuu?

Na wenyewe wanajua kwamba wao huwa wanazeeka mapema?
 
Mkuu huna point kaa kimya tu.... Ng'ombe hazeeki maini na ndo maana Mzee Machache alimuoa Jackline Ntuyabaliwe bila hiyana😁😁😁....


😁😁😁 MKUU hicho nnachokisema mfano nnayo tena kwa kwa baba yangu mzazi Kwaiyo usibishe kitu ambacho huna tafiti nacho kua makini utaja ujute

Ni sawa kabisa kumzidi MWANAMKE age ila isiwe Zaidi ya 6 years Mkuu


We huujui uzee Mkuu kua makini
 
😁😁😁 MKUU hicho nnachokisema mfano nnayo tena kwa kwa baba yangu mzazi Kwaiyo usibishe kitu ambacho huna tafiti nacho kua makini utaja ujute

Ni sawa kabisa kumzidi MWANAMKE age ila isiwe Zaidi ya 6 years Mkuu


We huujui uzee Mkuu kua makini
Sawa boss oa hata aliyekuzidi umri ni sawa hayanaga fomula! 😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom