Nipo tayari kumuoa ila yeye hayupo tayari, mnanishauri nini?

Nipo tayari kumuoa ila yeye hayupo tayari, mnanishauri nini?

Si kubwa kabisa, pia ndio maana nimeandika pale juu mimi 29 umri namba ila sina tofauti kabisa kimuonekano na mwenye miaka 24 mpaka muda mwengine initiatives hasira dogo tu wa 27 anakitwa dogo.

Nje ya mada kuna sehemu nilifanya kazi kuna scenario ilitokea Mlinzi akaanita "huyu dogo" nilimaindi ilikaa moyoni natafuta Angle nimchane aache ufala, alafu baadae yule mlinzi anapiga stori kwenye stori anawaambia Ana umri wa 24 mimi apo nina 29 Fala nimempita 5 ananiita dogo.

I short huyo huyu mwanamke atazeeka mimk bado naonekana kama nina 28.

Nimegundua tatizo. Una akili za kitoto. Ndo maana hata mlinzi alikuita dogo. Na huyo binti hataki kuolewa na dogo. Ukue kwanza.
 
Wadau Saluti

Nipo na huyu mwanamke yeye ana kama miaka 20 hivi anasifa zote za kuwa Wife Materials, yeye anashona cherehani mbali na kushona hanaga harakati nyengine yaani katulia 100%

Mimi naona umri umeenda na sio wakati wa kuwa na mahusiano yasio rasmi hivyo nataka kuoa ila nikimwambia nia yangu nikajitambulishe kwao hataki sijui utoto sijui nini. Bado naendelea nae ila namchulia mtu asiye serious kwasasa natafuta mwanamke mwengine aliye serious niende nae huyu nimbwage.

Hapa munanishauri vipi wadau
Anaye mchumba wake aliyemnunulia cherehani. Hachana na kitonga mdogo wangu, tafuta mtu wako, wekeza
 
Kama hata hujui maana ya kushona ni wazi huyo binti ana akili ndo maana hataki kuolewa na kilaza. Unashonaje cherehani? Unatumia mashine na uzi gani? Mpaka hapo hujaweza kuelewa? Huyo bint ana umri mdogo ila ana akili sana. Hataki kuolewa na kubwa jinga au kubwa kilaza.
Ujajibu swali bado, unashona nini??
 
Anaye mchumba wake aliyemnunulia cherehani. Hachana na kitonga mdogo wangu, tafuta mtu wako, wekeza
Anaposhona kama kwa mwalimu wa ushonaji sio cherehani yake.
 
Wadau Saluti

Nipo na huyu mwanamke yeye ana kama miaka 20 hivi anasifa zote za kuwa Wife Materials, yeye anashona cherehani mbali na kushona hanaga harakati nyengine yaani katulia 100%

Mimi naona umri umeenda na sio wakati wa kuwa na mahusiano yasio rasmi hivyo nataka kuoa ila nikimwambia nia yangu nikajitambulishe kwao hataki sijui utoto sijui nini. Bado naendelea nae ila namchulia mtu asiye serious kwasasa natafuta mwanamke mwengine aliye serious niende nae huyu nimbwage.

Hapa munanishauri vipi wadau
Huyo ana mtu wake, tafuta mwingine last you utateseka
 
Sio omba omba kabisa ila hua pesa nampa mwenyewe ndogo ndogo yaani ukimpa 7000 hadi anashangaa ficial expression mbona unampka mihela mingi.

Yaani ukimnunulia kijuisi cha jero na firigisi ya 800 ukamuwekea na hela 2000 hilo bonge la zawadi.

Ukimpa 15000 cash hio itakuwa mada kabisa mkichati lazima akuulize pesa hizi zote umenipa
Mpaka kufika hapa kwa comment hii inatosha kabisa kujua wewe na huyo binti wote hamjapevuka mna akili za kitoto ,kueni kueni kwanza msiharakishe mambo.
 
Wadau Saluti

Nipo na huyu mwanamke yeye ana kama miaka 20 hivi anasifa zote za kuwa Wife Materials, yeye anashona cherehani mbali na kushona hanaga harakati nyengine yaani katulia 100%

Mimi naona umri umeenda na sio wakati wa kuwa na mahusiano yasio rasmi hivyo nataka kuoa ila nikimwambia nia yangu nikajitambulishe kwao hataki sijui utoto sijui nini. Bado naendelea nae ila namchulia mtu asiye serious kwasasa natafuta mwanamke mwengine aliye serious niende nae huyu nimbwage.

Hapa munanishauri vipi wadau
Ndo utafute sasa,ushauri wa nini tena
 
Wadau Saluti

Nipo na huyu mwanamke yeye ana kama miaka 20 hivi anasifa zote za kuwa Wife Materials, yeye anashona cherehani mbali na kushona hanaga harakati nyengine yaani katulia 100%

Mimi naona umri umeenda na sio wakati wa kuwa na mahusiano yasio rasmi hivyo nataka kuoa ila nikimwambia nia yangu nikajitambulishe kwao hataki sijui utoto sijui nini. Bado naendelea nae ila namchulia mtu asiye serious kwasasa natafuta mwanamke mwengine aliye serious niende nae huyu nimbwage.

Hapa munanishauri vipi wadau
Mimi nakushauri kajinyonge tu, maana hakuna namna.
 
Ndio nasikia leo mwanaume anaomba kuoa mwanamke. Kiutamaduni yeye ndio anatakiwa akuulize unaenda kwao lini.
 
Boss point sio kubembelezwa kuoa suala uyo mwanamke ni anavigezo sasa unabembelezwa na gumegume mimi nazungumzi Mwanamke hapa sio gumegume ambalo linatafuta kwa kufia
Wala huyo hakuwa gumegume, lakini uamuzi ni wako bro!!!
 
Dah wadau mmemshauri vibaya sana,,mimi ni huyo mcherehani,njoo tuongee nawewe hata hutishiwi
 
Wadau Saluti

Nipo na huyu mwanamke yeye ana kama miaka 20 hivi anasifa zote za kuwa Wife Materials, yeye anashona cherehani mbali na kushona hanaga harakati nyengine yaani katulia 100%

Mimi naona umri umeenda na sio wakati wa kuwa na mahusiano yasio rasmi hivyo nataka kuoa ila nikimwambia nia yangu nikajitambulishe kwao hataki sijui utoto sijui nini. Bado naendelea nae ila namchulia mtu asiye serious kwasasa natafuta mwanamke mwengine aliye serious niende nae huyu nimbwage.

Hapa munanishauri vipi wadau
My advice to you, usitumie nguvu yoyote kujaribu kumshawishi mwanamke akubali umuoe, atakubali kimwili but knows moyo wake haulo kwako and its just matter of time before chaos errupts, so ili mbeleni uwe safe akubali kwa moyo wake mwenyewe
And at hiyo age she young
 
9 years age difference ni kubwa sana........ Age difference isiwe above 6 years
kwa mwanaume na mwanamke si kubwa sana.

Muangalie Majizo na Lulu Michael. Mfano mwingine, JK, na Nyalandu wamewazidi wake zao miaka zaidi ya 10.
 
Back
Top Bottom