Nipo tayari kumuoa ila yeye hayupo tayari, mnanishauri nini?

Nipo tayari kumuoa ila yeye hayupo tayari, mnanishauri nini?

Wadau Saluti

Nipo na huyu mwanamke yeye ana kama miaka 20 hivi anasifa zote za kuwa Wife Materials, yeye anashona cherehani mbali na kushona hanaga harakati nyengine yaani katulia 100%

Mimi naona umri umeenda na sio wakati wa kuwa na mahusiano yasio rasmi hivyo nataka kuoa ila nikimwambia nia yangu nikajitambulishe kwao hataki sijui utoto sijui nini. Bado naendelea nae ila namchulia mtu asiye serious kwasasa natafuta mwanamke mwengine aliye serious niende nae huyu nimbwage.

Hapa munanishauri vipi wadau
Huyo mwanamke ana akilli. Wewe huna. Kama unaamini ANASHONA CHEREHANI. sijui anaishonaje. Basi una tatizo. Halafu hayupo tayari umuoe wewe unataka upewe ushauri. Kuna ushauri wowote hapo unahitajika? NYIE MADOGO NDO MWISHONI HUWA MNAOLEWA NYIE. MTU HAKUTAKI ACHANA NAYE FANYA MAMBO MENGINE.
 
Huyo mwanamke ana akilli. Wewe huna. Kama unaamini ANASHONA CHEREHANI. sijui anaishonaje. Basi una tatizo. Halafu hayupo tayari umuoe wewe unataka upewe ushauri. Kuna ushauri wowote hapo unahitajika? NYIE MADOGO NDO MWISHONI HUWA MNAOLEWA NYIE. MTU HAKUTAKI ACHANA NAYE FANYA MAMBO MENGINE.
Anashona nini Mkuu
 
Huyo mwanamke ana akilli. Wewe huna. Kama unaamini ANASHONA CHEREHANI. sijui anaishonaje. Basi una tatizo. Halafu hayupo tayari umuoe wewe unataka upewe ushauri. Kuna ushauri wowote hapo unahitajika? NYIE MADOGO NDO MWISHONI HUWA MNAOLEWA NYIE. MTU HAKUTAKI ACHANA NAYE FANYA MAMBO MENGINE.
Mkuu umeongea point kabisa, Hivi mwanaume uliye rijali unaanzaje kumbembeleza mwanamke ili umuoe, mimi binafsi nashangaa kwa sababu kuna dada aliwahi kuning'ang'ania toka mwaka 2019 mpka 2023 akijua nitamuoa lakin mm sikuwa na huo mpango hata kidogo... Mwanaume lazima ujue mipaka yako!! 👊👊
 
Mkuu umeongea point kabisa, Hivi mwanaume uliye rijali unaanzaje kumbembeleza mwanamke ili umuoe, mimi binafsi nashangaa kwa sababu kuna dada aliwahi kuning'ang'ania toka mwaka 2019 mpka 2023 akijua nitamuoa lakin mm sikuwa na huo mpango hata kidogo... Mwanaume lazima ujue mipaka yako!! 👊👊
Madogo sijui wanakwama wapi. Mtu hakutaki unambembeleza? We una tatizo la akili. Na anakudharau. Unabembelezaje ndoa? Halafu ukimuoa iweje ikiwa atakubali? Uwe mtumwa wake. Huu ni upuuzi. Huyu dogo angekuwa karibu ningemwasha vibao sababu ni mpumbavu.
 
Madogo sijui wanakwama wapi. Mtu hakutaki unambembeleza? We una tatizo la akili. Na anakudharau. Unabembelezaje ndoa? Halafu ukimuoa iweje ikiwa atakubali? Uwe mtumwa wake. Huu ni upuuzi. Huyu dogo angekuwa karibu ningemwasha vibao sababu ni mpumbavu.
Yaani anastahili vibao tu na sio ushauri... Hii dunia toka iumbwe haijawahi kuwa na uhaba wa wanawake wa kuoa lakini wanaume kila siku wanakuwa wachache wengine wanakuwa mashoga n.k...kwa hyo hat bila kuumiza kichwa ni lazima utapata mwanamke wa kuoa haijalish una maisha gani!
 
Mkuu umeongea point kabisa, Hivi mwanaume uliye rijali unaanzaje kumbembeleza mwanamke ili umuoe, mimi binafsi nashangaa kwa sababu kuna dada aliwahi kuning'ang'ania toka mwaka 2019 mpka 2023 akijua nitamuoa lakin mm sikuwa na huo mpango hata kidogo... Mwanaume lazima ujue mipaka yako!! 👊👊
Boss point sio kubembelezwa kuoa suala uyo mwanamke ni anavigezo sasa unabembelezwa na gumegume mimi nazungumzi Mwanamke hapa sio gumegume ambalo linatafuta kwa kufia
 
9 years age difference ni kubwa sana........ Age difference isiwe above 6 years
Si kubwa kabisa, pia ndio maana nimeandika pale juu mimi 29 umri namba ila sina tofauti kabisa kimuonekano na mwenye miaka 24 mpaka muda mwengine initiatives hasira dogo tu wa 27 anakitwa dogo.

Nje ya mada kuna sehemu nilifanya kazi kuna scenario ilitokea Mlinzi akaanita "huyu dogo" nilimaindi ilikaa moyoni natafuta Angle nimchane aache ufala, alafu baadae yule mlinzi anapiga stori kwenye stori anawaambia Ana umri wa 24 mimi apo nina 29 Fala nimempita 5 ananiita dogo.

I short huyo huyu mwanamke atazeeka mimk bado naonekana kama nina 28.
 
Jibu swali, anashona nini??
Kama hata hujui maana ya kushona ni wazi huyo binti ana akili ndo maana hataki kuolewa na kilaza. Unashonaje cherehani? Unatumia mashine na uzi gani? Mpaka hapo hujaweza kuelewa? Huyo bint ana umri mdogo ila ana akili sana. Hataki kuolewa na kubwa jinga au kubwa kilaza.
 
Back
Top Bottom