Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Wewe sasaKiufupi kama anaweza akatae ndoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe sasaKiufupi kama anaweza akatae ndoa.
Mahi wangu, nimekumiss alafuWewe sasa
😂😂😂Tutatimuliwa humu sasa ivi dihaMahi wangu, nimekumiss alafu
Huyo mwanamke ana akilli. Wewe huna. Kama unaamini ANASHONA CHEREHANI. sijui anaishonaje. Basi una tatizo. Halafu hayupo tayari umuoe wewe unataka upewe ushauri. Kuna ushauri wowote hapo unahitajika? NYIE MADOGO NDO MWISHONI HUWA MNAOLEWA NYIE. MTU HAKUTAKI ACHANA NAYE FANYA MAMBO MENGINE.Wadau Saluti
Nipo na huyu mwanamke yeye ana kama miaka 20 hivi anasifa zote za kuwa Wife Materials, yeye anashona cherehani mbali na kushona hanaga harakati nyengine yaani katulia 100%
Mimi naona umri umeenda na sio wakati wa kuwa na mahusiano yasio rasmi hivyo nataka kuoa ila nikimwambia nia yangu nikajitambulishe kwao hataki sijui utoto sijui nini. Bado naendelea nae ila namchulia mtu asiye serious kwasasa natafuta mwanamke mwengine aliye serious niende nae huyu nimbwage.
Hapa munanishauri vipi wadau
Basi mahi, tatizo hutaki kunifungulia segerea, haha😂😂😂Tutatimuliwa humu sasa ivi diha
Anashona nini MkuuHuyo mwanamke ana akilli. Wewe huna. Kama unaamini ANASHONA CHEREHANI. sijui anaishonaje. Basi una tatizo. Halafu hayupo tayari umuoe wewe unataka upewe ushauri. Kuna ushauri wowote hapo unahitajika? NYIE MADOGO NDO MWISHONI HUWA MNAOLEWA NYIE. MTU HAKUTAKI ACHANA NAYE FANYA MAMBO MENGINE.
Hahahaha,,, wooooiiii kataa ndoa,,nisije nkakushawishiBasi mahi, tatizo hutaki kunifungulia segerea, haha
Mkuu umeongea point kabisa, Hivi mwanaume uliye rijali unaanzaje kumbembeleza mwanamke ili umuoe, mimi binafsi nashangaa kwa sababu kuna dada aliwahi kuning'ang'ania toka mwaka 2019 mpka 2023 akijua nitamuoa lakin mm sikuwa na huo mpango hata kidogo... Mwanaume lazima ujue mipaka yako!! 👊👊Huyo mwanamke ana akilli. Wewe huna. Kama unaamini ANASHONA CHEREHANI. sijui anaishonaje. Basi una tatizo. Halafu hayupo tayari umuoe wewe unataka upewe ushauri. Kuna ushauri wowote hapo unahitajika? NYIE MADOGO NDO MWISHONI HUWA MNAOLEWA NYIE. MTU HAKUTAKI ACHANA NAYE FANYA MAMBO MENGINE.
Hebu tuambie anashonaje Cherehani? Imechanikaje anashonea nini?Anashona nini Mkuu
Nakusubiri unifungulie, hahaHahahaha,,, wooooiiii kataa ndoa,,nisije nkakushawishi
Mimi 29 ila kimuonekano unaweza jua 24 mpaka nikulazimishe sana ndio ukubali 29
Madogo sijui wanakwama wapi. Mtu hakutaki unambembeleza? We una tatizo la akili. Na anakudharau. Unabembelezaje ndoa? Halafu ukimuoa iweje ikiwa atakubali? Uwe mtumwa wake. Huu ni upuuzi. Huyu dogo angekuwa karibu ningemwasha vibao sababu ni mpumbavu.Mkuu umeongea point kabisa, Hivi mwanaume uliye rijali unaanzaje kumbembeleza mwanamke ili umuoe, mimi binafsi nashangaa kwa sababu kuna dada aliwahi kuning'ang'ania toka mwaka 2019 mpka 2023 akijua nitamuoa lakin mm sikuwa na huo mpango hata kidogo... Mwanaume lazima ujue mipaka yako!! 👊👊
Yaani anastahili vibao tu na sio ushauri... Hii dunia toka iumbwe haijawahi kuwa na uhaba wa wanawake wa kuoa lakini wanaume kila siku wanakuwa wachache wengine wanakuwa mashoga n.k...kwa hyo hat bila kuumiza kichwa ni lazima utapata mwanamke wa kuoa haijalish una maisha gani!Madogo sijui wanakwama wapi. Mtu hakutaki unambembeleza? We una tatizo la akili. Na anakudharau. Unabembelezaje ndoa? Halafu ukimuoa iweje ikiwa atakubali? Uwe mtumwa wake. Huu ni upuuzi. Huyu dogo angekuwa karibu ningemwasha vibao sababu ni mpumbavu.
Boss point sio kubembelezwa kuoa suala uyo mwanamke ni anavigezo sasa unabembelezwa na gumegume mimi nazungumzi Mwanamke hapa sio gumegume ambalo linatafuta kwa kufiaMkuu umeongea point kabisa, Hivi mwanaume uliye rijali unaanzaje kumbembeleza mwanamke ili umuoe, mimi binafsi nashangaa kwa sababu kuna dada aliwahi kuning'ang'ania toka mwaka 2019 mpka 2023 akijua nitamuoa lakin mm sikuwa na huo mpango hata kidogo... Mwanaume lazima ujue mipaka yako!! 👊👊
Si kubwa kabisa, pia ndio maana nimeandika pale juu mimi 29 umri namba ila sina tofauti kabisa kimuonekano na mwenye miaka 24 mpaka muda mwengine initiatives hasira dogo tu wa 27 anakitwa dogo.9 years age difference ni kubwa sana........ Age difference isiwe above 6 years
sawa,,nitafanya ivoNakusubiri unifungulie, haha
Kama hata hujui maana ya kushona ni wazi huyo binti ana akili ndo maana hataki kuolewa na kilaza. Unashonaje cherehani? Unatumia mashine na uzi gani? Mpaka hapo hujaweza kuelewa? Huyo bint ana umri mdogo ila ana akili sana. Hataki kuolewa na kubwa jinga au kubwa kilaza.Jibu swali, anashona nini??