Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni min -me usikaririKABLA YA KUFUNGUA NOTIFICATIONS HUYU LAZIMA NI RARA REREE katembeza Likes
View attachment 3028434
Wanawake hawatabiriki na kwa miaka hiyo pia akili yako itakuwa imekomaa vizuri tu kukabiliana na changamoto za wanawake.Maisha hayana guarantee naweza kufika hio 33 nikampata huyo mmoja then Instant akakuonesha Red Flag moja kabambe assume ukimuacha tena itachukua mika mingine mine kumtengeneza mqengine.
Huyu yupo super sana ila hapo tu ndio anazingua sasa nikifilia wanawake wasasa kupata aliye Super naona hii Sunna ya kuoa kama inanipita.
Kushona nguo- Fundi cherehaniHivi kushona cherehani ni kazi gani wakuu.
Naomba kujuzwa.
🤣🤣🤣🤣🤣20 bado sana subiri mileage zisome kwanza wahuni washenyente then atakutafuta
Fundi cherehani na fundi nguo ndio hao hao washona cherehani?Kushona nguo- Fundi cherehani
Hakuna mshona cherehani huyo kachapiaFundi cherehani na fundi nguo ndio hao hao washona cherehani?
Bwana harusi mtarajiwa mbona unashari tena utaweza kweli ndoa?Ww umepakatwa na wahuni
Min mi yuko lindo sahiziKABLA YA KUFUNGUA NOTIFICATIONS HUYU LAZIMA NI RARA REREE katembeza Likes
View attachment 3028434
Si ndio unaomba ushauri hapa haujamuacha au??Nishamuacha
Mpe mimba.Wadau Saluti
Nipo na huyu mwanamke yeye ana kama miaka 20 hivi anasifa zote za kuwa Wife Materials, yeye anashona cherehani mbali na kushona hanaga harakati nyengine yaani katulia 100%
Mimi naona umri umeenda na sio wakati wa kuwa na mahusiano yasio rasmi hivyo nataka kuoa ila nikimwambia nia yangu nikajitambulishe kwao hataki sijui utoto sijui nini. Bado naendelea nae ila namchulia mtu asiye serious kwasasa natafuta mwanamke mwengine aliye serious niende nae huyu nimbwage.
Hapa munanishauri vipi wadau
Mimba itaingiaje wakati hataki kuolewa.Mpe mimba.
Kaka hii miaka hakuna mke, kula usepeWadau Saluti
Nipo na huyu mwanamke yeye ana kama miaka 20 hivi anasifa zote za kuwa Wife Materials, yeye anashona cherehani mbali na kushona hanaga harakati nyengine yaani katulia 100%
Mimi naona umri umeenda na sio wakati wa kuwa na mahusiano yasio rasmi hivyo nataka kuoa ila nikimwambia nia yangu nikajitambulishe kwao hataki sijui utoto sijui nini. Bado naendelea nae ila namchulia mtu asiye serious kwasasa natafuta mwanamke mwengine aliye serious niende nae huyu nimbwage.
Hapa munanishauri vipi wadau