Nipo tayari kumuoa ila yeye hayupo tayari, mnanishauri nini?

Piga miti huku ukiendelea kutafuta mke ukishapata unaachana naye aendelee kuchezewa.
 
tatizo utoto ndio unakusumbua, nini sasa hiki umeandika? Huyo dem ashaona hawezi kuolewa na mlamba lips wa makumbusho kazi kuvaa vinjubga, socks ndefu na yeboyebo na kufuga mandevu kama taliban
Rubbish ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
 
Hakikisha unampiga mshede kwa sana na unampotezea kiaina ataanza mwenyewe kujaa kwenye mfumo maana yawezekana ulikuwa unampelekea moto kidogo ukijali kwamba ndo wife mambo ndo hayo sasa kakuvimbia peleka moto kama ndo mara yako ya kwanza kuona hiyo kitu uone matokeo.
NB: KATAA NDOA NI UTAPELI
 
Bado watoto unakimbilia nini ndugu ? Maisga ndoa safaro ndefu sanaa mtachokanaaaabmapema sana sasa vuta vuta hadi ukiwa 28 hukooo
 
Big Nyota Kwasababu ipi huwa wanazeeka mapema, mkuu?

Na wenyewe wanajua kwamba wao huwa wanazeeka mapema?
 
Mkuu huna point kaa kimya tu.... Ng'ombe hazeeki maini na ndo maana Mzee Machache alimuoa Jackline Ntuyabaliwe bila hiyana๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜....


๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ MKUU hicho nnachokisema mfano nnayo tena kwa kwa baba yangu mzazi Kwaiyo usibishe kitu ambacho huna tafiti nacho kua makini utaja ujute

Ni sawa kabisa kumzidi MWANAMKE age ila isiwe Zaidi ya 6 years Mkuu


We huujui uzee Mkuu kua makini
 
Sawa boss oa hata aliyekuzidi umri ni sawa hayanaga fomula! ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ