Nipo tofauti na wanaume wengine. Wengi wananambia nikienda kwa mganga ntatibiwa tatizo hili

Acha tuu tufurahi humu humu mkuu. Hujagundua tuu status yangu? Hujaona nimekupa like pale uliposema "hela zako unawapa mke na mama yako"? Ongezea na mama mkwe wako hapo mbele nikupe like nyingine😀😀
 
Tuko pamoja,, tuwahonge kwa kipi walichofanya? ,,, i can pay $100 to slap bitch's @ss, but not free money
 
ha ha ha... sisi mabhakili ndo huwa tunakuja kuwa matajiri.... shauri zenu.
basi kama vipi mtafute yule dada uliyekua nae kule chooni hospitali karibu ufe .. Atakua bado na mapenzi na wewe.. bakhili wahead!!!
 
we usihonge nipe namba ya demu wako nitumie uzaifu wako nile mzigo najua hata buku ya biko na tatu mzuka ntashinda mil 100 hahahaaaa...
 
na mimi ni kitu kizuri unadhani mi ni mbaya???????????? check tu pozi langu kwenye hiyo picha hapo............
" Ukihitaji kizuri sio kosa la jinai kuingia gharama "
Sura yako ni mbaya utafikiri yule mzee baba aliyesema " here work only "
 
mwanaume siyo sura mamaa....ila we sura yangu hujaingalia vizuri tu... tena watu kama sisi tunapiga sana kipara.... tunapiga kipara hasa. ile mbaya.

" Ukihitaji kizuri sio kosa la jinai kuingia gharama "
Sura yako ni mbaya utafikiri yule mzee baba aliyesema " here work only "
 
wewe hawezi kukukubali.. atakwambia kabisa we kilaza. unaandika uzaifu badala ya udhaifu? kigezo namba moja kimeshakutoa KO.
we usihonge nipe namba ya demu wako nitumie uzaifu wako nile mzigo najua hata buku ya biko na tatu mzuka ntashinda mil 100 hahahaaaa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…