Acha tuu tufurahi humu humu mkuu. Hujagundua tuu status yangu? Hujaona nimekupa like pale uliposema "hela zako unawapa mke na mama yako"? Ongezea na mama mkwe wako hapo mbele nikupe like nyingine😀😀Cajojo ha ha ha.. hivi tuache masikhara.. we mrembo umeshaolewa? tusije tukakaa kaa hivi muda ukaenda tukazoeana nikaja kukwambia naomba game ukasema unaniona mimi kama kaka yako... utadhani mimi siwafaham dada zangu. tuwasiliane basi.... muda ndo huu.... sisi wote bado vijana hakuna haja ya kulumbana.
" Ukihitaji kizuri sio kosa la jinai kuingia gharama "na mimi ni kitu kizuri unadhani mi ni mbaya???????????? check tu pozi langu kwenye hiyo picha hapo............
" Ukihitaji kizuri sio kosa la jinai kuingia gharama "
Sura yako ni mbaya utafikiri yule mzee baba aliyesema " here work only "
we usihonge nipe namba ya demu wako nitumie uzaifu wako nile mzigo najua hata buku ya biko na tatu mzuka ntashinda mil 100 hahahaaaa...
Kwa nini usije kwangu tukaunganisha vikojoleo?Tunajikanda na maji ya moto!
Huyo kwenye avatar ni wewe?" Ukihitaji kizuri sio kosa la jinai kuingia gharama "
Sura yako ni mbaya utafikiri yule mzee baba aliyesema " here work only "
NaamWabahili kumbe tupo wengi aisee