Nipo tofauti na wanaume wengine. Wengi wananambia nikienda kwa mganga ntatibiwa tatizo hili

Nipo tofauti na wanaume wengine. Wengi wananambia nikienda kwa mganga ntatibiwa tatizo hili

Wewe sio gudume bali ni kadume. Unaashindwaje kuhonga!!!! Hata jogoo anahonga
 
Kuna rafiki yangu ni bahili kama ww ila kila akiwashwa anakimbilia kununua makahaba sasa najiuliza wale makahaba wanampa bure?.
 
ahsaaante Mwana FA...mimi pia niko radhi waniite "dume suruali" poa tu..lakini sihongi ng'oo
 
Wanaume tuna tabia ya kukataa hatuhongi, ila kwa wale mnaoweza kukaa mamiezi kibaaao bila kula papuchi ndio mtaweza,
Mi ikipita wiki 2 sijagusa papuchi naona kama mwaka, papuchi ya bureee huwezi ipata kwa mda utakao.



Mbona zimezagaa kila kona, tunapigia simu demu anaomba kuja kiujanja na tunakataa. Mwanamme anayejitambua HATAKIWI kuhonga na mwanamke anayejitambua hapendi mwanamme anayehonga kwani anakuona hujuwi game ila ni mjinga tu wa kuchezewa akili.
 
usiseme haipo sema wewe hupati. mi mbona napata sana. wewe inabidi utumie pesa maana bila pesa huna ambacho unaweza mshawishia mwanamke. so inabidi akuuzie ili naye ajiridhishe na moyo wake. nyie wanaume wa hivyo mpo.sisi wengine hata tukiwa tumesimama pasipo nguo.. mwanamke anavutiwa na sisi... nyie wenzangu ndo inabidi uwe na gari,simu kali,na pesa ili hivyo vitu ndo vimvutie mwanamke. acha si tuendelee kujigongea kwa mapenzi... na hela unazohonga ndo tunaletewa sisi wanaume wa aina yetu... wewe ukimnywesha huko n.k anakuja sasa kupiga game ya ukweli kwa hawa wanaume ambao wao huwa na mapenzi tu ya ku enjoy.
Kama umezoea kuhongwa si utafte mwanaume mkuu awe anakuhudumia....maana iyo type ya wanawake ulosema ckuiz haipo
 
ha ha haha... nyie pia mpo.. so nyie mtaenda kwa wa aina yenu. mtawapa huduma nao watalipia basi maisha yanasonga mbele...............

Mmmh kunawengine hatuamini katika kukojozwa hah hah hah
 
nashukuru maana nlidhani hili ni tatizo. maana ninafaham jamaa zangu wengi wanahonga sana.... yaani wamekuwa kama mazezeta. halafu wakiwahonga mademu wapo na kuwalewesha baadaye wale mademu wananitafuta mimi nikawapige show... mi huwa nakataa... wanasema wanaenjoy kulewa na pesa za majamaa lakini jamaa wenyewe nao wanachoka haraka sana.... so wanaishia tu kuwananii.... mi huwa nawaambia mi siwawezi nyie sina pesa. wanajibu pesa washapata kule.... sasa ni wakati wa mambo mengine.

hiyo huitaji kwenda mganga ndio misimamo ya mwanaume kamili sio unakuwa mlaini unapigwa mizinga ya hovyo ....kama unataka kutoka kwenye uanaume kweli bc utakuwa umepoteza moja ya kanuni muhimu sn ya mwanaumr
 
Zama zimebadilika si kila ugonjwa ni malaria.

HAKUNA KUONGA HAKUNA KUONGA
 
ndugu MADEM WAZURI UTAISHIA KUWAITA SHEMEJI
we endelea tuu na ubahili wako!!
Hii misemo mingine mnakaririshana tu...kwahiyo demu mzuri ndo anastahili kujiuza,? Demu mbaya aliwe bure kwa mantiki yako sio?
 
Kuhonga ni kawaida ila km unahonga demu asiyeleeweka ndo shida..demu unajua kabisa huyu anakukomoa au anakuchuna unampa ya nini....
 
nmeona tu niseme pengine naweza pata ufumbuzi au in english solution. Wana jamiiforums,ndugu,marafiki na jamaa zangu nahitaj katika hili mnisaidie.

Kiukwel sababu kubwa inayonifanya nisidumu na mademu wengi ni kuwa MIMI NI BAHILI SANA. MIMI SIJUI KUHONGA NA SITAKI KUHONGA. PIGA UA,KATAKATA,CHOMACHOMA, GARAGAZA, SIHONGI.

Hii tabia nlijifunza zamani sana baada ya kuwa nlikuwa nadate demu flan ambaye alikuwa ana jamaa yake ambaye alikuwa anamkatia pesa. Naye demu akawa ananikatia mimi au ndo anatumia hizo pesa nika msawijishe mitaa ya kati.

Hilo jambo lilinifanya nifikiri sana. Nikaona kumbeeeee.. Ikaja tena nikapata mwngne naye alikuwa hivyo hivyo basi i learnt smethng. Sasa nmekua bado ni mgumu kuhonga.

NIHONGE ILI IWEJE? mimi sinunui penzi hata siku moja. Kama nataka game nataka hata mpenz wangu naye atake game siyo eti mimi ndo nataka yeye hatak kwa hiyo nikalipe. Najiamini raha tunapata wote so why should i pay?

Kama hii itanifanya nisiwe mwnaume acha iwe hivyo. Wanaume wengine mtajua madhara ya kuhonga siku moja. Misichana ya siku hizi mingi ni MANG'AMUNG'AMU( yaani haijatulia) unakaa nalo macho yapo juu juu tu nalo linatafuta wapi pengine pa kuangukia. Mi nlishajifunza kutoweka miguu yote ndani. Na ndo maana dk chache tu msichana anaweza kuwa ex wangu.

Halafu wivu ndo sina kabisa... Naweza nikajua demu wangu amegongwa akija simuulizi navaa ndom nakula mzigo then kama kawaida tu. Mmoja alikuja kigundua kuwa mi nmemla na nikajua jamaa yangu kamla then nikaendelea kumla alishangaa sana. Nikamuuliza why nigombane kwa kiungo chake mwenyewe anaweza tumia atakavyo?

Tabia ya midada ya siku hizi ukichat naye mara mbili tatu tu utasikia naomba pesa ya lunch, au vocha, au mafuta gari nmepark. Manyang'au wakubwa. Mimi sihongi. Ila kama napata msichana anayejiheshimu naweza mpa pesa kama zawadi au msaada. Wapo. Unakaa na msichana miezi 6 hajakwambia ana shida na pesa.huyo oa.

Haya mengine ukiwa naye ni kama una date matatizo. Mara ada chuo haijatosha,mara pesa ya hostel, mara anatatizo anataka lak1 ,mara salary imechelewa, mara anaagiza mzigo kapungukiwa pesa... Hizi mbinu mi nazifaham kitambo sana.

Jamaa zangu wananambia niende kwa mganga anifungue mifuko yangu. Mi ndo maana mpaka leo sitak mpenzi wa uswahilini au njaa kali. Tena asinisogelee kabisa. Na pia demu nikikutaka njia nzuri ya kunikataa ni kuniomba pesa. Sirud tena kwako.
Yan wewe naona umenisema mimi kabisaaaaaa

Kuna dem napga saiv yan watu wanamuogopa kwa ukicheche na washikaji wananambia niachane nae coz n kiwembe ila mi ndo hata sijali na wala sijawah kumuonyesha kwambq najua yeye ni kicheche ila nachofanya ni huwaga nampeleka kupimz zen naliamsha dude

Kupenda ilikua zqmani saiv utakufa kwa presha bure na hyo tabia ya kuwa na dem mmoja ndo inaletaga wivu we jifunze kuwa na maamuzi magumu sio unaogopa kumuacha dem hatakama anakumalizia hela zako

Mi dem hata awe mzuri vipi huwa sidumu nae kabisaaa na siumii kuachana nae
 
Back
Top Bottom