Nipo tofauti na wanaume wengine. Wengi wananambia nikienda kwa mganga ntatibiwa tatizo hili

Nipo tofauti na wanaume wengine. Wengi wananambia nikienda kwa mganga ntatibiwa tatizo hili

GuDume umenikumbusha stori ya cashier mmoja kwenye duka kubwa la wahindi maeneo ya town, dada yupo njema mnoo ilikuwa ni chakula ya boss, lunch hours boss anampandisha New African hotel kula mambo, anamuachia na pesa ya kutosha, dada akifunga duka jioni break ya kwanza ghetoni kwa jamaa pale mikumi, jamaa anamtengeneza vizuri sana hata kusimama shida na anamuachia pesa yote aliyopewa na muhindi....
 
mi mchanganyiko wa Mpare na Mkinga. baba ake SIHONGI KITU.... HAPA KWANGU KAZI TU KULA KWENU.... NA MADEMU WAKALI NAPATA SANA TU. NA WENGINE VICHECHE NAO NAPATA UNAJUA UNAPOENDA KUVUA UNAVUA KILA AINA YA SAMAKI HALAFU NDO UNAWATENGA KULINGANA NA MAJINA NA SIFA ZAO.

Wee Mpale Wa Wap Ndugu Yangu....??
 
Ha ha ha... hata wao wanapiga selfie siku hizi... ila dunia ya leo kuna midudu ming tu ya kupiga nyanjo.... X
Ila nyie nyege zikizidi sijui mnazipunguzaje, maana sisi hatukawii kupiga SELFIE
 
SEE... HUYO JAMAA SASA NDO GUDUME.... BOSS ANAHONGA JAMAA ANAKUJA ANAPIGA SHOW YAKE KALI NA MKWANJA ANAPATA SIKU INAENDA VYEMA..... hawa ndo wanaume tunaotaka dunia ya sasa.. wale wanaume pochi tumeshachoka nao sana..... sasa hivi sisi tunapiga kila aina ya kazi PESA ZETU TUNAKULA NA WAKE ZETU NA WAZAZI WETU. HAPA STORY TU KULA KWENU. ndo kauli mbiu ya sasa.
MBITIYAZA
Cajojo
Valentina
mahondaw
GuDume umenikumbusha stori ya cashier mmoja kwenye duka kubwa la wahindi maeneo ya town, dada yupo njema mnoo ilikuwa ni chakula ya boss, lunch hours boss anampandisha New African hotel kula mambo, anamuachia na pesa ya kutosha, dada akifunga duka jioni break ya kwanza ghetoni kwa jamaa pale mikumi, jamaa anamtengeneza vizuri sana hata kusimama shida na anamuachia pesa yote aliyopewa na muhindi....
 
Chimdia upo wapi mama? hiyo avatar yako imekaa bomba sana.. jamaa wanaiweza kweli? tuwasiliane ndugu yangu huu ndo mwanzo wa kufahamiana.... mimi si mchoyo. nikunyime nini? ikiwa nakuwa tayari kukufanyia kila kitu tunapokuwa uwanjani sasa unasemaje mi mchoyo???????????????? halafu kwa hiyo avatar yako hupendezi kuhongwa kabisa... kuna wanawake wamekaa kifundi mchundo ukimwona tu mdada unajua hapa nataka kudate matatizo.
Una dalili za uchoyo...
 
sasa kuna tofauti. wale hawahongi. ananunua anajua kabisa ananunua na wanakuwa kibiashara. ipo tofauti ya kununua na kuhonga. halafu wale nasikia hawana gharama... mkimalizana unampa chake kila mtu anashika zake. habari za kuwa sijui mama yake anaumwa, sijui mtoto wake kajikwaa, sijui amepungukiwa ada hamna.

Kuna rafiki yangu ni bahili kama ww ila kila akiwashwa anakimbilia kununua makahaba sasa najiuliza wale makahaba wanampa bure?.
 
nmeona tu niseme pengine naweza pata ufumbuzi au in english solution. Wana jamiiforums,ndugu,marafiki na jamaa zangu nahitaj katika hili mnisaidie.

Kiukwel sababu kubwa inayonifanya nisidumu na mademu wengi ni kuwa MIMI NI BAHILI SANA. MIMI SIJUI KUHONGA NA SITAKI KUHONGA. PIGA UA,KATAKATA,CHOMACHOMA, GARAGAZA, SIHONGI.

Hii tabia nlijifunza zamani sana baada ya kuwa nlikuwa nadate demu flan ambaye alikuwa ana jamaa yake ambaye alikuwa anamkatia pesa. Naye demu akawa ananikatia mimi au ndo anatumia hizo pesa nika msawijishe mitaa ya kati.

Hilo jambo lilinifanya nifikiri sana. Nikaona kumbeeeee.. Ikaja tena nikapata mwngne naye alikuwa hivyo hivyo basi i learnt smethng. Sasa nmekua bado ni mgumu kuhonga.

NIHONGE ILI IWEJE? mimi sinunui penzi hata siku moja. Kama nataka game nataka hata mpenz wangu naye atake game siyo eti mimi ndo nataka yeye hatak kwa hiyo nikalipe. Najiamini raha tunapata wote so why should i pay?

Kama hii itanifanya nisiwe mwnaume acha iwe hivyo. Wanaume wengine mtajua madhara ya kuhonga siku moja. Misichana ya siku hizi mingi ni MANG'AMUNG'AMU( yaani haijatulia) unakaa nalo macho yapo juu juu tu nalo linatafuta wapi pengine pa kuangukia. Mi nlishajifunza kutoweka miguu yote ndani. Na ndo maana dk chache tu msichana anaweza kuwa ex wangu.

Halafu wivu ndo sina kabisa... Naweza nikajua demu wangu amegongwa akija simuulizi navaa ndom nakula mzigo then kama kawaida tu. Mmoja alikuja kigundua kuwa mi nmemla na nikajua jamaa yangu kamla then nikaendelea kumla alishangaa sana. Nikamuuliza why nigombane kwa kiungo chake mwenyewe anaweza tumia atakavyo?

Tabia ya midada ya siku hizi ukichat naye mara mbili tatu tu utasikia naomba pesa ya lunch, au vocha, au mafuta gari nmepark. Manyang'au wakubwa. Mimi sihongi. Ila kama napata msichana anayejiheshimu naweza mpa pesa kama zawadi au msaada. Wapo. Unakaa na msichana miezi 6 hajakwambia ana shida na pesa.huyo oa.

Haya mengine ukiwa naye ni kama una date matatizo. Mara ada chuo haijatosha,mara pesa ya hostel, mara anatatizo anataka lak1 ,mara salary imechelewa, mara anaagiza mzigo kapungukiwa pesa... Hizi mbinu mi nazifaham kitambo sana.

Jamaa zangu wananambia niende kwa mganga anifungue mifuko yangu. Mi ndo maana mpaka leo sitak mpenzi wa uswahilini au njaa kali. Tena asinisogelee kabisa. Na pia demu nikikutaka njia nzuri ya kunikataa ni kuniomba pesa. Sirud tena kwako.
Daaaa!!!!! Hii inafundisha ngoja wenyewe waje watoe povu
 
aaaaahh sisi wanaume hatuhongi bwana. sisi wanaume tunakuuzia maneno tunapiga game ukitaka bak kama hutaki anza mbele. siku inasogea. niache kumpa mama yangu pesa au atakayekuwa mke wangu na watoto wangu nimpe mtu baki tu ambaye wote tumesikia raha.... aaah wapi sifanyi ujinga huo. hapa kwangu ni kazi tu.
Wewe sio gudume bali ni kadume. Unaashindwaje kuhonga!!!! Hata jogoo anahonga
 
Wanaume suruali utawajua tuu, nyie ndio wale hata mke wako akiomba hela unawaza kuchunwa tuu anavaa kiatu hadi kinatoboka kisa baba toto hutaki toa, ila nyie ndio mkienda baa mnazungusha hata raundi 10 kwa mpigo.
Ila kiufupi bado ladha za papuchi tofauti hamjazijua. Acheni kuvaa ndomu ndio zinazowafanya muwe wabahili.
Bora iwe ivo kuliko unampa mwanamke pesa then na yeye anaenda kumpa mwanaume mwingine
 
SEE... HUYO JAMAA SASA NDO GUDUME.... BOSS ANAHONGA JAMAA ANAKUJA ANAPIGA SHOW YAKE KALI NA MKWANJA ANAPATA SIKU INAENDA VYEMA..... hawa ndo wanaume tunaotaka dunia ya sasa.. wale wanaume pochi tumeshachoka nao sana..... sasa hivi sisi tunapiga kila aina ya kazi PESA ZETU TUNAKULA NA WAKE ZETU NA WAZAZI WETU. HAPA STORY TU KULA KWENU. ndo kauli mbiu ya sasa.
MBITIYAZA
Cajojo
Valentina
mahondaw
Hahaha haya nakuona nakuona katka ubora wako
 
aaaaahh sisi wanaume hatuhongi bwana. sisi wanaume tunakuuzia maneno tunapiga game ukitaka bak kama hutaki anza mbele. siku inasogea. niache kumpa mama yangu pesa au atakayekuwa mke wangu na watoto wangu nimpe mtu baki tu ambaye wote tumesikia raha.... aaah wapi sifanyi ujinga huo. hapa kwangu ni kazi tu.
Safi sana wife na mama ndo kila kitu
 
Haha wakuu mm nmetakaa kupgwaa mzingaa dem nmekaa naee kwenye mausiano ataa wikii haijaishaa Tatar anajidai mgonjwaa na anatkaa nimtumiee lakii ya matibabuu hpo sijamuona ata papuchii sijailaa bdoo. Hahaaa hpo ndo naonaa mabnt Wa kchagga sio Wa mchezo mchezoo aisee
 
Cajojo ha ha ha.. hivi tuache masikhara.. we mrembo umeshaolewa? tusije tukakaa kaa hivi muda ukaenda tukazoeana nikaja kukwambia naomba game ukasema unaniona mimi kama kaka yako... utadhani mimi siwafaham dada zangu. tuwasiliane basi.... muda ndo huu.... sisi wote bado vijana hakuna haja ya kulumbana.

Hahaha haya nakuona nakuona katka ubora wako
 
basi kama vipi mtafute yule dada uliyekua nae kule chooni hospitali karibu ufe .. Atakua bado na mapenzi na wewe.. bakhili wahead!!!
 
Back
Top Bottom