Basima Ogenze
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 786
- 881
Tupo pamoja mkuu ingawa mimi nina afadhali kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahahahha eti mang'amu ng'amu !haahahah maana ya ung'amu ng;am nadhan ni kublink blikn eyes !uwiii !twafaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Umewah pata usingiz wa mang'amung'amu ? Yaani unakuwa haujaseto. Unalala unaamka , unalala juu juu tu siyo deep. Ndo kuna wanawake wapi hivyo.... Hawaelewek elewek
Wanaume suruali utawajua tuu, nyie ndio wale hata mke wako akiomba hela unawaza kuchunwa tuu anavaa kiatu hadi kinatoboka kisa baba toto hutaki toa, ila nyie ndio mkienda baa mnazungusha hata raundi 10 kwa mpigo.
Ila kiufupi bado ladha za papuchi tofauti hamjazijua. Acheni kuvaa ndomu ndio zinazowafanya muwe wabahili.
nmeona tu niseme pengine naweza pata ufumbuzi au in english solution. Wana jamiiforums,ndugu,marafiki na jamaa zangu nahitaj katika hili mnisaidie.
Kiukwel sababu kubwa inayonifanya nisidumu na mademu wengi ni kuwa MIMI NI BAHILI SANA. MIMI SIJUI KUHONGA NA SITAKI KUHONGA. PIGA UA,KATAKATA,CHOMACHOMA, GARAGAZA, SIHONGI.
Hii tabia nlijifunza zamani sana baada ya kuwa nlikuwa nadate demu flan ambaye alikuwa ana jamaa yake ambaye alikuwa anamkatia pesa. Naye demu akawa ananikatia mimi au ndo anatumia hizo pesa nika msawijishe mitaa ya kati.
Hilo jambo lilinifanya nifikiri sana. Nikaona kumbeeeee.. Ikaja tena nikapata mwngne naye alikuwa hivyo hivyo basi i learnt smethng. Sasa nmekua bado ni mgumu kuhonga.
NIHONGE ILI IWEJE? mimi sinunui penzi hata siku moja. Kama nataka game nataka hata mpenz wangu naye atake game siyo eti mimi ndo nataka yeye hatak kwa hiyo nikalipe. Najiamini raha tunapata wote so why should i pay?
Kama hii itanifanya nisiwe mwnaume acha iwe hivyo. Wanaume wengine mtajua madhara ya kuhonga siku moja. Misichana ya siku hizi mingi ni MANG'AMUNG'AMU( yaani haijatulia) unakaa nalo macho yapo juu juu tu nalo linatafuta wapi pengine pa kuangukia. Mi nlishajifunza kutoweka miguu yote ndani. Na ndo maana dk chache tu msichana anaweza kuwa ex wangu.
Halafu wivu ndo sina kabisa... Naweza nikajua demu wangu amegongwa akija simuulizi navaa ndom nakula mzigo then kama kawaida tu. Mmoja alikuja kigundua kuwa mi nmemla na nikajua jamaa yangu kamla then nikaendelea kumla alishangaa sana. Nikamuuliza why nigombane kwa kiungo chake mwenyewe anaweza tumia atakavyo?
Tabia ya midada ya siku hizi ukichat naye mara mbili tatu tu utasikia naomba pesa ya lunch, au vocha, au mafuta gari nmepark. Manyang'au wakubwa. Mimi sihongi. Ila kama napata msichana anayejiheshimu naweza mpa pesa kama zawadi au msaada. Wapo. Unakaa na msichana miezi 6 hajakwambia ana shida na pesa.huyo oa.
Haya mengine ukiwa naye ni kama una date matatizo. Mara ada chuo haijatosha,mara pesa ya hostel, mara anatatizo anataka lak1 ,mara salary imechelewa, mara anaagiza mzigo kapungukiwa pesa... Hizi mbinu mi nazifaham kitambo sana.
Jamaa zangu wananambia niende kwa mganga anifungue mifuko yangu. Mi ndo maana mpaka leo sitak mpenzi wa uswahilini au njaa kali. Tena asinisogelee kabisa. Na pia demu nikikutaka njia nzuri ya kunikataa ni kuniomba pesa. Sirud tena kwako.
hhhhqh wapo aisee ht ukikaa naye bar macho huku na huku kutafta vichwa ahahahahah 1mara aende toi mara anyanyuke heheheheh!haya paap tumekusomaa
Wewe mdada una akili sana... Mumeo kwa kweli alichagua...umenena kweli kabisa... Kuna mwanamke akipata mwanaume anamwita kichwa... Yaani amekula kichwa... Halaf eti nimhonge.... Acha tu niitwe surual
Wabahili kumbe tupo wengi aisee
Yan ww io pic tu profile mim sinaga mbavu,The way "irons are tighted" it is impossible kuhongaring!!!