Nipo tofauti na wanaume wengine. Wengi wananambia nikienda kwa mganga ntatibiwa tatizo hili

Nipo tofauti na wanaume wengine. Wengi wananambia nikienda kwa mganga ntatibiwa tatizo hili

Sijaelewa mahana halisi ya kuhonga kwa jinsi nilivyosoma Uzi wako
 
Wanaume suruali utawajua tuu, nyie ndio wale hata mke wako akiomba hela unawaza kuchunwa tuu anavaa kiatu hadi kinatoboka kisa baba toto hutaki toa, ila nyie ndio mkienda baa mnazungusha hata raundi 10 kwa mpigo.
Ila kiufupi bado ladha za papuchi tofauti hamjazijua. Acheni kuvaa ndomu ndio zinazowafanya muwe wabahili.
 
Umewah pata usingiz wa mang'amung'amu ? Yaani unakuwa haujaseto. Unalala unaamka , unalala juu juu tu siyo deep. Ndo kuna wanawake wapi hivyo.... Hawaelewek elewek

ahahahha eti mang'amu ng'amu !haahahah maana ya ung'amu ng;am nadhan ni kublink blikn eyes !uwiii !twafaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Umewah pata usingiz wa mang'amung'amu ? Yaani unakuwa haujaseto. Unalala unaamka , unalala juu juu tu siyo deep. Ndo kuna wanawake wapi hivyo.... Hawaelewek elewek


hhhhqh wapo aisee ht ukikaa naye bar macho huku na huku kutafta vichwa ahahahahah 1mara aende toi mara anyanyuke heheheheh!haya paap tumekusomaa
 
Halafu mara nying wanawake wa aina yako hata uelewa wao huwa mdogo. Wao wanafikiria tu apigwe kitu apewe pesa. Kwenye uzi imesemwa kabisa mpe pesa mkeo. Au kumpa pesa mke wangu si tatizo. Tatizo ni kwa nyie manungayembe. Wacha niwe mwanaume suruali... Kama unauza tembea na EFD machine kabisa.

Wanaume suruali utawajua tuu, nyie ndio wale hata mke wako akiomba hela unawaza kuchunwa tuu anavaa kiatu hadi kinatoboka kisa baba toto hutaki toa, ila nyie ndio mkienda baa mnazungusha hata raundi 10 kwa mpigo.
Ila kiufupi bado ladha za papuchi tofauti hamjazijua. Acheni kuvaa ndomu ndio zinazowafanya muwe wabahili.
 
nmeona tu niseme pengine naweza pata ufumbuzi au in english solution. Wana jamiiforums,ndugu,marafiki na jamaa zangu nahitaj katika hili mnisaidie.

Kiukwel sababu kubwa inayonifanya nisidumu na mademu wengi ni kuwa MIMI NI BAHILI SANA. MIMI SIJUI KUHONGA NA SITAKI KUHONGA. PIGA UA,KATAKATA,CHOMACHOMA, GARAGAZA, SIHONGI.

Hii tabia nlijifunza zamani sana baada ya kuwa nlikuwa nadate demu flan ambaye alikuwa ana jamaa yake ambaye alikuwa anamkatia pesa. Naye demu akawa ananikatia mimi au ndo anatumia hizo pesa nika msawijishe mitaa ya kati.

Hilo jambo lilinifanya nifikiri sana. Nikaona kumbeeeee.. Ikaja tena nikapata mwngne naye alikuwa hivyo hivyo basi i learnt smethng. Sasa nmekua bado ni mgumu kuhonga.

NIHONGE ILI IWEJE? mimi sinunui penzi hata siku moja. Kama nataka game nataka hata mpenz wangu naye atake game siyo eti mimi ndo nataka yeye hatak kwa hiyo nikalipe. Najiamini raha tunapata wote so why should i pay?

Kama hii itanifanya nisiwe mwnaume acha iwe hivyo. Wanaume wengine mtajua madhara ya kuhonga siku moja. Misichana ya siku hizi mingi ni MANG'AMUNG'AMU( yaani haijatulia) unakaa nalo macho yapo juu juu tu nalo linatafuta wapi pengine pa kuangukia. Mi nlishajifunza kutoweka miguu yote ndani. Na ndo maana dk chache tu msichana anaweza kuwa ex wangu.

Halafu wivu ndo sina kabisa... Naweza nikajua demu wangu amegongwa akija simuulizi navaa ndom nakula mzigo then kama kawaida tu. Mmoja alikuja kigundua kuwa mi nmemla na nikajua jamaa yangu kamla then nikaendelea kumla alishangaa sana. Nikamuuliza why nigombane kwa kiungo chake mwenyewe anaweza tumia atakavyo?

Tabia ya midada ya siku hizi ukichat naye mara mbili tatu tu utasikia naomba pesa ya lunch, au vocha, au mafuta gari nmepark. Manyang'au wakubwa. Mimi sihongi. Ila kama napata msichana anayejiheshimu naweza mpa pesa kama zawadi au msaada. Wapo. Unakaa na msichana miezi 6 hajakwambia ana shida na pesa.huyo oa.

Haya mengine ukiwa naye ni kama una date matatizo. Mara ada chuo haijatosha,mara pesa ya hostel, mara anatatizo anataka lak1 ,mara salary imechelewa, mara anaagiza mzigo kapungukiwa pesa... Hizi mbinu mi nazifaham kitambo sana.

Jamaa zangu wananambia niende kwa mganga anifungue mifuko yangu. Mi ndo maana mpaka leo sitak mpenzi wa uswahilini au njaa kali. Tena asinisogelee kabisa. Na pia demu nikikutaka njia nzuri ya kunikataa ni kuniomba pesa. Sirud tena kwako.


Mbona waonekana unafurahia tabia yako, just enjoy tabia yako uliyozaliwa nayo.
 
ndugu MADEM WAZURI UTAISHIA KUWAITA SHEMEJI
we endelea tuu na ubahili wako!!
 
Wewe mdada una akili sana... Mumeo kwa kweli alichagua...umenena kweli kabisa... Kuna mwanamke akipata mwanaume anamwita kichwa... Yaani amekula kichwa... Halaf eti nimhonge.... Acha tu niitwe surual

hhhhqh wapo aisee ht ukikaa naye bar macho huku na huku kutafta vichwa ahahahahah 1mara aende toi mara anyanyuke heheheheh!haya paap tumekusomaa
 
Wewe mdada una akili sana... Mumeo kwa kweli alichagua...umenena kweli kabisa... Kuna mwanamke akipata mwanaume anamwita kichwa... Yaani amekula kichwa... Halaf eti nimhonge.... Acha tu niitwe surual


hahaha haya bwana !nayajua coz yapo sana vyuoni hayo na mitaani
 
Naamini kwamba, mwanaume anayefahamiana na wanawake(sio ndugu) kama 12 hivi, kuna kama watatu 'wanamkubali' sana kiasi kwamba wanaweza 'kulala' na yeye bila malipo.
Sasa, kama ndo hivyo, hamna sababu ya kufukuzia wengine kwa gharama, wakati una ambao wana utayari.

Kauli mbiu: Save your money. Save yourself.
 
Mimi nilijifunza kutohonga mwaka 2013 nilihonga RAV 4 Kilichofuata nikakimbiwa.Siku hizi nikihonga lazima niote ndotoni
 
Hao nawapata ila siyo wale wa kiswahili... Halafu unajua miaka hii mademu wazuri ni wengi sana... Mi ndo nawachuja kwa style hiyo yale makap yanajitoa kwa kutaka kunichuna
 
Thredi ka hii huwa haichangiwi na wanaotarajia kupata papuchi huku, sana sana wanakuja kukupondea. Subiri utawaona tu.
 
  • Thanks
Reactions: ywf
Wabahili kumbe tupo wengi aisee


Jamani tunatakiwa tuanzishe chama chetu....mimi si bahili ila sioni sababu ya mwanamme kumhonga mwanamke wakati unamsaidia kumpa gegedo. Ebu jiulize, yeye analala tu, wewe ndiyo ujipinde mgongo, utokwe na jasho mkunduni kisha umhonge demu wakati umemsaidia? Ahh walahi kwa hili niiteni mbahili tu.
 
Kwakwel sijawah kuhonga, uzi wang unasema nakula over age
 
Back
Top Bottom