Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
hii ni zaidi ya grisi mkuuMama anafungua nchi mzee si mlisema vyuma vimekaza? Mama anasambaza grisi kwa kila mtu now
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii ni zaidi ya grisi mkuuMama anafungua nchi mzee si mlisema vyuma vimekaza? Mama anasambaza grisi kwa kila mtu now
Huyu alikua mteule wa ********. Lazima ziemde kwake.Kama tais bila hata aibu mbele ya vyoMbo vya habari anatamka KILA KITU KITAPANDA BEI tena kwa msisitizo, tutegemee kila kitu kupanda
Hahahah kwanini mzee,,, hii sindio ile mambo mlikuwa mnamisihii ni zaidi ya grisi mkuu
Ndio.. hiyo nauli ni mbali,parefuu..Tunduma ina route moja tu ya daladala.nayo haifiki kilometa tano.
...
Tupatie bei ya ZambiaMimi niko mji wa tunduma toka siku mafuta yapande yafikie 2900 nauli huku tunalipa 1000 ya daladala .kituo kwa kituo...hakuna mamlaka zozote zinazokemea suala hili..wiki ya pili.hakuna trafik wala sumatra wanaochukua hatua...sasa inamaana hiyo ndo bei elekezi? Waziri..wakuu wa wilaya na wahusika wote..sasa hv tunatafta hela kwa ajili ya nauli tu na mafuta ya kupikia.....hebu waangalieee...mimi kinachiniuma siendi kazini tu.napata dharula zingne lazima nisafiri..unakuta nauli tu natumia 4000 hd 6000.hebu piga hesabu unarnda kazini na mkeo..kutafta riziki kwa biashara ndogondogo....mtoe nauli hyo.af mle hko mchana..sasa mnarudi nyumbani na sh.ngapi.isitoshe biashara halali ina faida kidogo
Alitamka mwanaccm mmoja kama hutaki kulipa hamia Burundi! Watu wana kufuru hawa ndezi hawa! Na sisi ndio tunamlipa mshahara!Mimi niko mji wa tunduma toka siku mafuta yapande yafikie 2900 nauli huku tunalipa 1000 ya daladala .kituo kwa kituo...hakuna mamlaka zozote zinazokemea suala hili..wiki ya pili.hakuna trafik wala sumatra wanaochukua hatua...sasa inamaana hiyo ndo bei elekezi? Waziri..wakuu wa wilaya na wahusika wote..sasa hv tunatafta hela kwa ajili ya nauli tu na mafuta ya kupikia.....hebu waangalieee...mimi kinachiniuma siendi kazini tu.napata dharula zingne lazima nisafiri..unakuta nauli tu natumia 4000 hd 6000.hebu piga hesabu unarnda kazini na mkeo..kutafta riziki kwa biashara ndogondogo....mtoe nauli hyo.af mle hko mchana..sasa mnarudi nyumbani na sh.ngapi.isitoshe biashara halali ina faida kidogo
Kote ndio bei hiyo hiyo.Wewe unataka ulipe bei gani boss?Mimi niko mji wa tunduma toka siku mafuta yapande yafikie 2900 nauli huku tunalipa 1000 ya daladala .kituo kwa kituo...hakuna mamlaka zozote zinazokemea suala hili..wiki ya pili.hakuna trafik wala sumatra wanaochukua hatua...sasa inamaana hiyo ndo bei elekezi? Waziri..wakuu wa wilaya na wahusika wote..sasa hv tunatafta hela kwa ajili ya nauli tu na mafuta ya kupikia.....hebu waangalieee...mimi kinachiniuma siendi kazini tu.napata dharula zingne lazima nisafiri..unakuta nauli tu natumia 4000 hd 6000.hebu piga hesabu unarnda kazini na mkeo..kutafta riziki kwa biashara ndogondogo....mtoe nauli hyo.af mle hko mchana..sasa mnarudi nyumbani na sh.ngapi.isitoshe biashara halali ina faida kidogo
Wewe umesema bei ya mafuta imeshuka au kupanda? Unauliza jibu?Kwa nini itoke 500 had 1000
amefanya reform gani Samia?Mimi raisi samia namkubali kwa kufanya reform kadhaaa.
uhhh wapi hapa tumechezewa rafuHahahah kwanini mzee,,, hii sindio ile mambo mlikuwa mnamisi