Nipo ugenini, wanapika chakula kidogo mno

Dah[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Umeyakanyaga mzee[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 

Naam kaka
Umenifundisha kitu
Ahsante
 
Beautiful- ukarimu...... Ni mbaya sana kumnyima mtu chakula au maji ya kunywa.
Wakati mwingine uchoyo ni namna mtu alivyolelewa au pengine umelelewa vizuri tu bila choyo ila unakuta ni hulka ya mtu yaani choyo ipo ndani yake mtu na hawezi kubadilika.
Sawa sawa nimelishwa mpaka nimeongezeka uzito.
 
Wasukuma sio wachoyo unakula na kushindwa mwenyewe uko sahihi
 

Dar kuna shida mno aisee!
Wanapika chakula kidogo mno,chakula cha kula mtu mmoja Kyela hapo Dar wanakula family wa watu wazima wanne.
Nn shida?
 
mbaya zaidi kinatengwa mezani kwa stail ya self service, mgeni unakaribishwa 'karibu uendelee hapa kila mtu anakula kwa muda wake'. Ukisogea mezani ukafungua hotpot unakutana na ugali kama ngumi.
 
Nice

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Duh mzee wako alikua mtu wa watu

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Note. kabla ya kuanza kula kunywa maji kiasi.., katikati ya msosi piga maji kiasi.... mwisho piga maji ya kunywa kiasi. furahia kushiba kwako.
 
Kwani vyuo na shule hamja. Fungua?
AU UME RUDISHWA ADA HUNA,
 
Eee we kiboko [emoji23][emoji23][emoji23] sasa ukienda ugenin unafanyaje?unaigiza au unakula share za watu watatu huo uroho sasa
Naogopa sana kumuongezea mtu bajeti, hivyo napendaga kufikia hotel au lodge na nikienda kusalimia ndugu ni ile mida ya SAA Tisa hadi 11 naondoka so tutapata vinywaji tu ambavyo pia nitagharamia kwa kisingizio cha kuwanunulia watoto na watu wengine ninaowakuta hapo.nilianza kujitegemea toka nikiwa darasa la sita so siwezi kuishi kwa mtu hata ssiku moja, mahali ninapokua comfortable ni kwa bi mkubwa tu ambaye anajua nature yangu ya ulaji yy hupenda kuniita simbilisi ni wanyama Fulani hv wakiingia shambani ni hatari.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na hunenepi ajabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…