Nipo ugenini, wanapika chakula kidogo mno

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mkuu hao walikuwa wapare wenzakeo hao. Jamani kula Kwa mpare ni KAZI aseee chakula Chao kidogo oooo wanabana matumizi wale Watu tena ukute mpare msabato aseee utajuta. Kande halijaungwa na kisamvu hakijaungwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] haaaaaaah haaaaaah dah nimecheka kama fala

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Mac Alpho sijui kwanini tu nimekumiss hapa baada ya kuona hii thread... 😂😂
Nimeona heading tu nikajiikuta nacheka sana, ngoja nikaisome sasa😄.

UPDATE:

Sijui ni aina ya watu na familia? By nature tu kila sehemu(miongoni mwa familia) ni walaji haswa, kwahiyo sijawahi kukutana na hii kasumba ya mleta mada.

Binafsi najua kabisa kuwa, hata mimi na wewe tusingetoboa kwenye huo mji😄.

MAISHA NI MAGUMU, mleta mada aelewe hilo.
 
Wenzako wanarudi wameshiba na hata wakikaribishwa mezani wanapiga tonge mbili tuu kuweka heshima tuu usionekane una dharau, haya mambo ya chakula, remote ya TV au kutumia bafu wakati kila mtu anajitayarisha kwenda kazini lazima uwe makini sana, muhimu soma mazingira haraka haraka
 
😂😂😂😂😂😂
Nasikitika kusema Mimi ningetoboa, si unanifahamu vyema lakini vile ambavyo mie siyo mlaji kabisa...??

Ahsante..!!
 
Bro,life nowadays imechange,majukumu ya kifamilia yameongezeka…vyakula ni gharama.Ukiwa kwa watu itabidi ufate sheria za hapo ila ukiwa kwako utarelax…hivyo just adapt.
 
Sasa gharama yote hiyo ya nini, si ukae lodge tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…