Nipongezeni, Kaizer is officially a GOLD member!

Nipongezeni, Kaizer is officially a GOLD member!

nashukuru kwa kuwepo kwako ila usifanye mzaha niko serious kweli utakuja siku hiyo kwani nshamwambia jaji hapa akuweke kwenye list ya waimbaji na tena nitafurahi zaidi ukitokea siku hiyo itakuwa jioni saa 11:30 pale leo tupo hapa pub sijui unapafahamu vizuri

acha nikuelekeze shukia kituo cha mwananyamala A, kisha fuaata hiyo barabara ya lami mpaka shuleni yani shule ya msingi mwananyamala kisiwani ukifika pale mpigie Mtambuzi nae atakuja kukuchukua ni hapo hapo pub ipo haiko mbali
haa mi tena nisiwepo? lazma nipo na nitaperfom kabisa ladyfurahia
 
Last edited by a moderator:
... Siungi mkono HOJA, kwa sababu zifuatazo;

1.
2.
3.
4. nk
 
nashukuru kwa kuwepo kwako ila usifanye mzaha niko serious kweli utakuja siku hiyo kwani nshamwambia jaji hapa akuweke kwenye list ya waimbaji na tena nitafurahi zaidi ukitokea siku hiyo itakuwa jioni saa 11:30 pale leo tupo hapa pub sijui unapafahamu vizuri

acha nikuelekeze shukia kituo cha mwananyamala A, kisha fuaata hiyo barabara ya lami mpaka shuleni yani shule ya msingi mwananyamala kisiwani ukifika pale mpigie Mtambuzi nae atakuja kukuchukua ni hapo hapo pub ipo haiko mbali

hebu tafutamo kabinti kaje kunichukua, Mtambuzi nitakuwa namsumbua bana,....nitashuka pale Mwananyamala A...
 
Last edited by a moderator:
basi nitakuja mwenyewe kukuchukua ondoa shaka kama ni hilo usijali una jingin? nishakuweka kwenye list ya waimbaji hivyo jipange sawasawa
hebu tafutamo kabinti kaje kunichukua, Mtambuzi nitakuwa namsumbua bana,....nitashuka pale Mwananyamala A...
 
ngoja nivunje kibubu changu nikalipie gold membership kumbe buku selasini tuu, easy ila mie wanipe sanduku la posta nitume sitaki kujulikana nitaweka bahasha ndani jina sakapal kisha waniwekee hako kakisoda ka gold, ntawalingishiaje Mentor and watu8 na wifi yangu snowhite ........................???
 
Last edited by a moderator:
hiv miaka yote niliyokufundisha umewahi kufikiri zawadi gani unaweza kunipa zaid ha hii ya kufanana nawe!
hebu do ze nidful bana!
 
Mkuu Kaizer umechelewa sana..
Hata hivyo karibu mwayego kwenye utepe wa rangi ya dhahabu..........
 
Last edited by a moderator:
ngoja nivunje kibubu changu nikalipie gold membership kumbe buku selasini tuu, easy ila mie wanipe sanduku la posta nitume sitaki kujulikana nitaweka bahasha ndani jina sakapal kisha waniwekee hako kakisoda ka gold, ntawalingishiaje Mentor and watu8 na wifi yangu snowhite ........................???

hahahaah sakapal nrushie kwen namba yangu PM then nitakuwasilishia kwa namba yangu ila kwa jina lako...easy! mambo ya bahasha yamepitwa ...hata kwa sie tunaotongoza tunatumia mbinu za kidigitali sio analogia bana hebu changamka:clap2:
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kaizer umechelewa sana..
Hata hivyo karibu mwayego kwenye utepe wa rangi ya dhahabu..........

Mkuu Mtambuzi ndio maana nikakuita ili walau ujaribu kuwastua huto tubinti tuwe gold mamber bana
 
Last edited by a moderator:
hiv miaka yote niliyokufundisha umewahi kufikiri zawadi gani unaweza kunipa zaid ha hii ya kufanana nawe!
hebu do ze nidful bana!

hivi mwalimu unafahamu umuhimu wa hii makitu?
 
Back
Top Bottom