ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
nashukuru kwa kuwepo kwako ila usifanye mzaha niko serious kweli utakuja siku hiyo kwani nshamwambia jaji hapa akuweke kwenye list ya waimbaji na tena nitafurahi zaidi ukitokea siku hiyo itakuwa jioni saa 11:30 pale leo tupo hapa pub sijui unapafahamu vizuri
acha nikuelekeze shukia kituo cha mwananyamala A, kisha fuaata hiyo barabara ya lami mpaka shuleni yani shule ya msingi mwananyamala kisiwani ukifika pale mpigie Mtambuzi nae atakuja kukuchukua ni hapo hapo pub ipo haiko mbali
acha nikuelekeze shukia kituo cha mwananyamala A, kisha fuaata hiyo barabara ya lami mpaka shuleni yani shule ya msingi mwananyamala kisiwani ukifika pale mpigie Mtambuzi nae atakuja kukuchukua ni hapo hapo pub ipo haiko mbali
haa mi tena nisiwepo? lazma nipo na nitaperfom kabisa ladyfurahia
Last edited by a moderator: