Nisaidie dawa ya mtoto kuacha kula karatasi. Ana mwaka 1

Nisaidie dawa ya mtoto kuacha kula karatasi. Ana mwaka 1

Dongwe

New Member
Joined
Mar 17, 2019
Posts
2
Reaction score
1
Mtoto wangu anatimiza mwaka mmoja ila anapenda sana kula karatasi.

Je, ni tatizo la lishe? Na ni nini dawa yake?

Tafadhali naomba msaada wenu
 
Jaribu kumtoa out umnunulie nyama choma ya mbuzi akila labda atazoea

Chora picha ya jini baada ya kumuonyesh movie ya kijini. Akiona picha ya jini ataogop

Paka vitu vichungu kwenye karat aside kama alovera. Ikiwezekana Paka pilipili kabisa. Ila uwe na glass ya maziw pembeni

Akiendelea upake mavi kwenye karatasi akisikia harufu ya mavi ataona kinyaa.

Akiendelea mpelek kituo cha watoto Yatima week akirudi atakuja na heshima. Nilikuw mkorofi nilipelekwa kule nilirudi na adabu
 
Mtoto wangu anatimiza mwaka mmoja ila anapenda sana kula karatasi.

Je, ni tatizo la lishe? Na ni nini dawa yake?

Tafadhali naomba msaada wenu
Pole,

Menendo wa afya yake ukoje (Uzito vs umri).

Inawezekana kuwa sababu ya ukosefu wa vitamini na madini mwilini.

1: Check kiasi cha damu

2: Mpe multivitamins supplement

3: Balance diet(uwiano mzuri wa matunda/mbogamboga/protini/wanga).

NB: Ikiendelea, onana na saikolojist vs Pediatrician.
 
Mtoto wangu anatimiza mwaka mmoja ila anapenda sana kula karatasi.

Je, ni tatizo la lishe? Na ni nini dawa yake?

Tafadhali naomba msaada wenu

Mtoto wa mwaka mmoja huwezi control yeye kushika karatasi? Maana kila anachoshika atapeleka msomoni au anavaa nguo za makaratasi?
 
Anaenda kununua mwenyewe? Weka mbali hizo karatasi na mtoto, idiota
 
Pole,

Menendo wa afya yake ukoje (Uzito vs umri).

Inawezekana kuwa sababu ya ukosefu wa vitamini na madini mwilini.

1: Check kiasi cha damu

2: Mpe multivitamins supplement

3: Balance diet(uwiano mzuri wa matunda/mbogamboga/protini/wanga).

NB: Ikiendelea, onana na saikolojist vs Pediatrician.
Nashukuru kwa ushauri mzuri. Nafanyia kazi
 
We mtoto wa mwaka mmoja anakushinda kumdhibiti?! Kaweke viboko au kakatupe baharini au ghorofani...

Maana watu wengine uombaji wao ushauri huakisi rasmi level zenu za utaahira 😂
 
Mtoto wa mwaka mmoja huwezi control yeye kushika karatasi? Maana kila anachoshika atapeleka msomoni au anavaa nguo za makaratasi?
Mtoto anavaa nguo za namna hii
images (52).jpeg
 
Duhhhh[emoji15][emoji15][emoji15]
Ungekuwa wewe kijana kabla hujaja hapa kuomba ushauri ungetumia namna gani za kukadhibiti kabwana mdogo kalikoamua kukata urafiki na uji na maziwa kakaamua kukandamiza makaratasi?!
 
Ni kawaida kwa mtoto kula chochote anachokuwa nacho karibu. Lakini kama anakula karatasi zaidi maana yake anakutana na karatasi zaidi kuliko chakula. Lazima ale karatasi. Sionj kitu cha kitabibu hapo
 
Nyumbani kwako makaratasi ndio yanapatikana, Midori hakuna yakuchezea mtoto nk, mibangi yenu hiyo punguzeni
 
Back
Top Bottom