Nisaidie kuokoa hili ua lisife please¹

Nisaidie kuokoa hili ua lisife please¹

Loimata

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2022
Posts
749
Reaction score
1,741
Habari wapendwa.

Naomba utizame majani ya hili ua then unitajie dawa inayoweza kuokoa hili ua lisife.

Nitabarikiwa kama atanishauri mtu mwenye uhakika na anachoongea mana mpaka nakuja kutafuta msaada hapa nishapoteza 115K kuokoa ua langu lakini sioni likipona.

Napata huzuni kila nikiona majani yake yanakua ya njano,shina limekua kama limevimba vimba hlf lina vitu vyeupe vyeupe,halina furaha na halitoi maua yake mazuri kama zamani😭😭😭q
 
Habari wapendwa.

Naomba utizame majani ya hili ua then unitajie dawa inayoweza kuokoa hili ua lisife.

Nitabarikiwa kama atanishauri mtu mwenye uhakika na anachoongea mana mpaka nakuja kutafuta msaada hapa nishapoteza 115K kuokoa ua langu lakini sioni likipona.

Napata huzuni kila nikiona majani yake yanakua ya njano,shina limekua kama limevimba vimba hlf lina vitu vyeupe vyeupe,halina furaha na halitoi maua yake mazuri kama zamani😭😭😭View attachment 3013634qView attachment 3013635
lipeleke hospitali za maua
 
Kwanza atupe maelezo hiyo 115K imetumika kwenye nini na ua halijapona?

Nahisi kuna chai tumepewa tunywe ila hatujagundua bado kama kuna chai yetu hapa.
labda kapeleka kwa wataalamu wa maua afu bado holla mgonjwa kagoma kupona ila tumuulize ua ni la mda gani isije kuwa lina miaka mingi limeshazeeka tyr
 
Back
Top Bottom