Nisaidie kuokoa hili ua lisife please¹

Nisaidie kuokoa hili ua lisife please¹

Ila mnisamehe bure kama nitamkwaza mtu lkn jamani hii post imenionesha kuwa wengi wetu hali ni ngumu sana.I sweat sikutegemea watu wazima haps kushikia bango 115K.Like seriously?Hiyo ni hela ndogo sana wakuu hebu tutafuteni hela kheeh!!
Wanaume mnaitwa huku....
Bora uwachambe, yaani 115k wanaona ni bonge la pesa, wakati nikienda Shishi food ni mlo wa mchana tu....
Wachambe mwaya
 
Wanaume mnaitwa huku....
Bora uwachambe, yaani 115k wanaona ni bonge la pesa, wakati nikienda Shishi food ni mlo wa mchana tu....
Wachambe mwaya
Sijawachamba mpenzi,nimeshangaa tu,wamekomalia chai chai ndo nikashangaa.Hiyo si hela inakaa kwa handbag unaisahau hadi siku unabeba hiyo pochi ndo unagundua kumbe kuna hela uliachaga humo
 
Sijawachamba mpenzi,nimeshangaa tu,wamekomalia chai chai ndo nikashangaa.Hiyo si hela inakaa kwa handbag unaisahau hadi siku unabeba hiyo pochi ndo unagundua kumbe kuna hela uliachaga humo
Hatari!!!!
Wamekusikia.
 
kwanin uhisi ni uongo mkuu?
Kwani hali ni ngumu sana kias cha kuitana waongo sbb ya kutumia 115k kuokoa kitu unapenda?

Okay,tuseme nadanganya,napata faida gani?
baadhi yetu wapenzi wa maua, na hapo zamani tuliwahi kufanya biashara ya kuuza miti ya maua tunajua thamani yake.

Bahati mbaya nimeshindwa kujua ni mmea gani huo ili niweze angalau kukupa ushauri muafaka.

Je huo mmea unatoa maua au ni wa majani tu kama zile crotons?
 
I-9baadhi yetu wapenzi wa maua, na hapo zamani tuliwahi kufanya biashara ya kuuza miti ya maua tunajua thamani yake.

Bahati mbaya nimeshindwa kujua ni mmea gani huo ili niweze angalau kukupa ushauri muafaka.

Je huo mmea unatoa maua au ni wa majani tu kama zile crotons?
Naona wewe tunaongea lugha moja dear.Mtu asie penda maia hawezi kuelewa.

Linatoa maua ya pink.
Kabla ua halijafunguka linakua kwenye kitu kama bamia hivi.
Ngoja nikuwekee picha japo haziko vizuri labda utalijuaplz
 
Naona wewe tunaongea lugha moja dear.Mtu asie penda maia hawezi kuelewa.

Linatoa maua ya pink.
Kabla ua halijafunguka linakua kwenye kitu kama bamia hivi.
Ngoja nikuwekee picha japo haziko vizuri labda utalijuaView attachment 3014065
naona kama yamefanana na jamii ya oleander, hebu jaribu kucheck google halafu kama ni sahihi nikuchekie kwenye vitabu vyangu.
Hayo maua yako pink, meupe na mchanganyiko (very light pink)
 
Kweli Dunia duara. We zako wanapoteza maisha hawana fedha za kuwahudumia hata chakula we una pambana na majani tena siyo cha kula. Ni ua la masharti labda useme.
 
naona kama yamefanana na jamii ya oleander, hebu jaribu kucheck google halafu kama ni sahihi nikuchekie kwenye vitabu vyangu.
Hayo maua yako pink, meupe na mchanganyiko (very light pink)
Nimegugo ndo lenyewe dear.
Ua moja zuri sana.
Natanguliza shukrani kwa msaada wako. 🙏🙏
 
Kweli Dunia duara. We zako wanapoteza maisha hawana fedha za kuwahudumia hata chakula we una pambana na majani tena siyo cha kula. Ni ua la masharti labda useme.
Mkuu mwenye uwezo na jukumu la kuhakikisha kila binadamu ana chakula,malazi etc ni Mungu.
Ukisema usifurahie baraka zako kisa kuna watu hawana ulichonacho ni kumkosoa Mungu kuwa ni mjinga kukupa wewe ns kuwanyima wengine.

Saidia walio karibu yako then enjoy your blessings.🙏🙏
 
Back
Top Bottom