Nisaidie kuokoa hili ua lisife please¹

Nisaidie kuokoa hili ua lisife please¹

Habari wapendwa.

Naomba utizame majani ya hili ua then unitajie dawa inayoweza kuokoa hili ua lisife.

Nitabarikiwa kama atanishauri mtu mwenye uhakika na anachoongea mana mpaka nakuja kutafuta msaada hapa nishapoteza 115K kuokoa ua langu lakini sioni likipona.

Napata huzuni kila nikiona majani yake yanakua ya njano,shina limekua kama limevimba vimba hlf lina vitu vyeupe vyeupe,halina furaha na halitoi maua yake mazuri kama zamani😭😭😭View attachment 3013634qView attachment 3013635
Hivyo vyeupe ni nziweupe hawa wanafyonza maji kwenye majani na shina, ni rahisi kuwaua kwa kuwanyunyuzia dawa ya kuua nziweupe kila siku na maji ya kutosha, dawa zipo nyingi tu na bila pampu ni bure.
Wewe ni padri au mchungaji? Naona mti upo kwenye eneo la kanisa, nakushauri fanya maombi na ukemee, kwa ziada baada ya dawa.
 
Habari wapendwa.

Naomba utizame majani ya hili ua then unitajie dawa inayoweza kuokoa hili ua lisife.

Nitabarikiwa kama atanishauri mtu mwenye uhakika na anachoongea mana mpaka nakuja kutafuta msaada hapa nishapoteza 115K kuokoa ua langu lakini sioni likipona.

Napata huzuni kila nikiona majani yake yanakua ya njano,shina limekua kama limevimba vimba hlf lina vitu vyeupe vyeupe,halina furaha na halitoi maua yake mazuri kama zamani😭😭😭View attachment 3013634qView attachment 3013635
quality ya picha zako ni mbaya sana
 
Loimata mboga 7, tafuta professionals wa agrovet, hopefully watakupa durable solution.

-Kaveli-
 
ngoja nitamuonyesha bosi wangu wa zamani mtaalamuna mama wa kizanaki
. nitafanyaa mpaka ukishindwa waliyokushauri washika dau
 
Ila mnisamehe bure kama nitamkwaza mtu lkn jamani hii post imenionesha kuwa wengi wetu hali ni ngumu sana.I swear sikutegemea watu wazima haps kushikia bango 115K.Like seriously?Hiyo ni hela ndogo sana wakuu hebu tutafuteni hela kheeh!!
 
Back
Top Bottom