Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanitakia nini??
Hivyo vyeupe ni nziweupe hawa wanafyonza maji kwenye majani na shina, ni rahisi kuwaua kwa kuwanyunyuzia dawa ya kuua nziweupe kila siku na maji ya kutosha, dawa zipo nyingi tu na bila pampu ni bure.Habari wapendwa.
Naomba utizame majani ya hili ua then unitajie dawa inayoweza kuokoa hili ua lisife.
Nitabarikiwa kama atanishauri mtu mwenye uhakika na anachoongea mana mpaka nakuja kutafuta msaada hapa nishapoteza 115K kuokoa ua langu lakini sioni likipona.
Napata huzuni kila nikiona majani yake yanakua ya njano,shina limekua kama limevimba vimba hlf lina vitu vyeupe vyeupe,halina furaha na halitoi maua yake mazuri kama zamani😭😭😭View attachment 3013634qView attachment 3013635
Swali gumu lakini rahisi. Hilo amelizoea mkuuNje ya mada,
Kwani kununua ua lingine ni bei gani mpaka wewe so far utumie 115K kulitibu?
quality ya picha zako ni mbaya sanaHabari wapendwa.
Naomba utizame majani ya hili ua then unitajie dawa inayoweza kuokoa hili ua lisife.
Nitabarikiwa kama atanishauri mtu mwenye uhakika na anachoongea mana mpaka nakuja kutafuta msaada hapa nishapoteza 115K kuokoa ua langu lakini sioni likipona.
Napata huzuni kila nikiona majani yake yanakua ya njano,shina limekua kama limevimba vimba hlf lina vitu vyeupe vyeupe,halina furaha na halitoi maua yake mazuri kama zamani😭😭😭View attachment 3013634qView attachment 3013635
hilo ua tunafanyaje lisifeUnanitakia nini??
SIjuihilo ua tunafanyaje lisife
Kwa iyo ww ushaamini kama jamaa amekula iyo loss ya 115k ?Nje ya mada,
Kwani kununua ua lingine ni bei gani mpaka wewe so far utumie 115K kulitibu?
Kumbe nawe una majibu kama huyo bwana
Ata shiling 10 ukitumia halaf isikupe matokeo unayoyataka tunahesabu kama ni loss.Sasa 115k nayo ya kuitwa loss?
Hlf mimi ni mwanamke sio jamaa