Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chai ya malimao hii mkuu bila shaka!Kwanza atupe maelezo hiyo 115K imetumika kwenye nini na ua halijapona?
Nahisi kuna chai tumepewa tunywe ila hatujagundua bado kama kuna chai yetu hapa.
mkuu inaonesha wewe sio mpenzi wa maua au pets.Nje ya mada,
Kwani kununua ua lingine ni bei gani mpaka wewe so far utumie 115K kulitibu?
mkuu inaonesha wewe sio mpenzi wa maua au pets.
Hivi mfano paka wako anaumwa utaacha afe sbb kuna paka wengine wazima.
This flower is my darling,sitaki jingine.Nataka hili hili liendelee kuwa kuwepo ktk maisha yetu.
Muuza madafu wa Ikulu hquna lolote juu ya hili la maua
Kwanza atupe maelezo hiyo 115K imetumika kwenye nini na ua halijapona?
Nahisi kuna chai tumepewa tunywe ila hatujagundua bado kama kuna chai yetu
kijana anayeyatunza ndie anayelipambania lisife so kila anavhoshairiwa ananiambia nitoe hela akanunue ila vyote anavyonunua havisaidii mwishowe naona hela zinapotea tu bila mafanikio
Huo Mjengo apo upo vizuri...Kama ni kwako Hongera sana kwa kutusua maishaHabari wapendwa.
Naomba utizame majani ya hili ua then unitajie dawa inayoweza kuokoa hili ua lisife.
Nitabarikiwa kama atanishauri mtu mwenye uhakika na anachoongea mana mpaka nakuja kutafuta msaada hapa nishapoteza 115K kuokoa ua langu lakini sioni likipona.
Napata huzuni kila nikiona majani yake yanakua ya njano,shina limekua kama limevimba vimba hlf lina vitu vyeupe vyeupe,halina furaha na halitoi maua yake mazuri kama zamanišššView attachment 3013634qView attachment 3013635
Lina miaka 6 tuššlabda kapeleka kwa wataalamu wa maua afu bado holla mgonjwa kagoma kupona ila tumuulize ua ni la mda gani isije kuwa lina miaka mingi limeshazeeka tyr
Ndani ya huu uzi kuna ego kubwa sana ila ipo kimkakati sana.Kwanza atupe maelezo hiyo 115K imetumika kwenye nini na ua halijapona?
Nahisi kuna chai tumepewa tunywe ila hatujagundua bado kama kuna chai yetu hapa.
View: https://www.reddit.com/r/houseplants/comments/18v9qi2/help_with_some_kind_of_plague_in_my_palm/?utm_source=share&utm_medium=mweb3x&utm_name=mweb3xcss&utm_term=1&utm_content=share_button
Ingia humo Mkuu,kuna solution kibao zimetolewa na wataalamu.
Ulete mrejesho mkuu ili na wengine wajifunze.sawa asantešš