Nisaidie kuokoa hili ua lisife please¹

Nisaidie kuokoa hili ua lisife please¹

Nje ya mada,

Kwani kununua ua lingine ni bei gani mpaka wewe so far utumie 115K kulitibu?
mkuu inaonesha wewe sio mpenzi wa maua au pets.
Hivi mfano paka wako anaumwa utaacha afe sbb kuna paka wengine wazima.

This flower is my darling,sitaki jingine.Nataka hili hili liendelee kuwa kuwepo ktk maisha yetu.
 
mkuu inaonesha wewe sio mpenzi wa maua au pets.
Hivi mfano paka wako anaumwa utaacha afe sbb kuna paka wengine wazima.

This flower is my darling,sitaki jingine.Nataka hili hili liendelee kuwa kuwepo ktk maisha yetu.

View: https://www.reddit.com/r/houseplants/comments/18v9qi2/help_with_some_kind_of_plague_in_my_palm/?utm_source=share&utm_medium=mweb3x&utm_name=mweb3xcss&utm_term=1&utm_content=share_button

Ingia humo Mkuu,kuna solution kibao zimetolewa na wataalamu.
 
Kwanza atupe maelezo hiyo 115K imetumika kwenye nini na ua halijapona?

Nahisi kuna chai tumepewa tunywe ila hatujagundua bado kama kuna chai yetu

kijana anayeyatunza ndie anayelipambania lisife so kila anavhoshairiwa ananiambia nitoe hela akanunue ila vyote anavyonunua havisaidii mwishowe naona hela zinapotea tu bila mafanikio
 
Habari wapendwa.

Naomba utizame majani ya hili ua then unitajie dawa inayoweza kuokoa hili ua lisife.

Nitabarikiwa kama atanishauri mtu mwenye uhakika na anachoongea mana mpaka nakuja kutafuta msaada hapa nishapoteza 115K kuokoa ua langu lakini sioni likipona.

Napata huzuni kila nikiona majani yake yanakua ya njano,shina limekua kama limevimba vimba hlf lina vitu vyeupe vyeupe,halina furaha na halitoi maua yake mazuri kama zamani😭😭😭View attachment 3013634qView attachment 3013635
Huo Mjengo apo upo vizuri...Kama ni kwako Hongera sana kwa kutusua maisha
 
labda kapeleka kwa wataalamu wa maua afu bado holla mgonjwa kagoma kupona ila tumuulize ua ni la mda gani isije kuwa lina miaka mingi limeshazeeka tyr
Lina miaka 6 tu😭😭
Kijana anayeyatunza amehangaika kutafuta ushauri kuliokoa so kila akishauriwa kitu ananiomba hela ananunua ila dawa zote ameshauriwa hazijatusaidia ndo mana nikaja hapa ili nisizidi kupoteza hela
 
Back
Top Bottom