Tuombe uzima inshaAllah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuombe uzima inshaAllah
Nipo mkoa tofaut na nyumbani vilipo vitabu
Someni kwa Furaha hata mimi pia nakihitaji, ukikipata nijulishe. Kinahuisana na safari ya Bulicheka na mke wake Elizabeti. Bulicheka alikuwa mwalimu wa shule ya Kilakala
Someni kwa Furaha hata mimi pia nakihitaji, ukikipata nijulishe. Kinahuisana na safari ya Bulicheka na mke wake Elizabeti. Bulicheka alikuwa mwalimu wa shule ya Kilakala
Mwalimu mbona nimekupm hujajibu. Unavyo hivyo vitabu?Aiseee vinapatkana chapuuuuuu tu PM
Mkuu hauna hata mdogo wako nyumbani akascan na simu tufanye biashara?Nipo mkoa tofaut na nyumbani vilipo vitabu
Bulicheka na Eliabeth wao walikuwa wanafundisha ile ya msingi, siyo ya sekondariShule ya sekondary kilakala iliyopo Morogoro ??
Uko sahihi kabisa, kumbe una kumbukumbu nzuri sana. Kitabu kingine kinachofanana na hiki kilikuwa kina title "Someni bila shida"Yeye huyo mke alikuwa anaitwa Elizabeta, hilo la Elizabeti kabda ndiyo vitabu vya akina Mkuki!
Uko sahihi kabisa, kumbe una kumbukumbu nzuri sana. Kitabu kingine kinachofanana na hiki kilikuwa kina title "Someni bila shida"
Bulicheka na Eliabeth wao walikuwa wanafundisha ile ya msingi, siyo ya sekondari
Wanauza?Hivi vitabu vyote original vipo pale Ndanda Press kule Masasi! Kila kitabu cha zamani kipo pale!
Wanauza?
Ngoja niwatafute. Mchana nimepiga simu kumbe ni watu wa kiwanda cha maji, kumbe ndiyo wanatengeneza maji ya ndanda. Kama unamawasiliano ya watu wa uchapaji naomba unisaidie?Yes vinauzwa, ni bookshop kubwa!
Kumbe nawe ni muhenga?Aiseee umenikumbusha mbali na hivyo vitabu. Bulicheka na mkewe Elizabeth na wagagagigikoko
Hii pupa uliyonayo ni rahisi sana kupigwa.Ngoja niwatafute. Mchana nimepiga simu kumbe ni watu wa kiwanda cha maji, kumbe ndiyo wanatengeneza maji ya ndanda. Kama unamawasiliano ya watu wa uchapaji naomba unisaidie?