Nisaidie tafadhali nimechanganyikiwa.

Mhh waone wataalamu wa afya ili ufurahie maisha dia
 
Pole sana dd. Jaribu kukutana na doctor hospital akufanyie diagnosis na upate ushauri au tiba kitaalam
 
Nice[emoji106]
 
Yawezekana hamu yako na nye..zako zipo kwenye 0713 umejaribu.[emoji12][emoji12]
 
Jaribu kucheki kiwango chako cha damu huenda ikawa sabbu pia. Damu ikiwa chini ni shida
 
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Ebu ngoja nijaribu kujibu swali hili


1. Kosa kubwa ambalo wanawake wanakifanya nikudhan kila mwanaume anatakiwa kumlidhisha yy,siyo kweli sabu mwanaume anapoanza kufanya tendo la ndoa anachofikilia yy kwa wakat huo ni kumaliza haja yake baaasi ni wanaume wachache sana wanao wafikiria wake zao wakati Wa tendo hilo.

2. Mwamke unatakiwa ujue kuwa kama mwaume hasipo kuandaa vizuri itakuchua mda sana kupata hamu ya mapenzi au kuhisi kama unafanya kitu flani tu na pia unaweza kuwa unaumia tu.

USHAURI WANGU.

We ndo unatakiwa ushike mchezo mzima yaani mruhisu mmeo kuturia na ww ndo uwe dreva.
unaposikia anaitaji kutoka au kufikia mshindo na bado ww upo mbali tulia usiendelee kufanya chochote, unaweza kuanza kumshika shika husimruhusu akate ata kiuno hadi utapoona katulia hii ni kwa sababu mwanamke huendelea ku chemka wakati mwanaume nakuwa anapoa tumia njia hiyo hadi pale utapoona unakaribia, mruhusu mmeo ndo ashike stering unajua kwanini atakuja na kasi ya ajabu basi kwa kasi hiyo kwako itakuwa ushindi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…