covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
WanaJF habari zenu, ni miaka kadhaa tangu nioe lakini najishangaa nilivyo kwa sababu ninauchu sana wakufanya mapenzi yani mpaka mama watoto ananiletea noma.
Anasema nimezidisha maana kam ni amri yangu kila siku nipige mzigo sasa mke wangu yupo likizo na amegoma kubaki home eti ananiambia anaenda kwao kupumzika ninamchosha mno naombeni nisaidieni eti huo uchu nilionao ni tatizo au kawaida tu.
Anasema nimezidisha maana kam ni amri yangu kila siku nipige mzigo sasa mke wangu yupo likizo na amegoma kubaki home eti ananiambia anaenda kwao kupumzika ninamchosha mno naombeni nisaidieni eti huo uchu nilionao ni tatizo au kawaida tu.