Nisaidieni jaman, nina uchu wa kufanya mapenzi sana

Nisaidieni jaman, nina uchu wa kufanya mapenzi sana

Sasa nitafanyaje ndo nimeshamuoa hivyo afu nampenda naye ananipenda nishauri kitu kingine..!

Unaonekana ni mtu wa haraka haraka... yaani hujaona ushauri wangu.... haya huu hapa....
Jaribu kujizuia kidogo ili isiwe kero kwa mkeo la sivyo uwe mbunifu wa kumshawishi azoee hali hiyo..
 
Tafakari inawezekana unapiga unapiga tu mzigo lkn mwenzio humridhishi/ kumfikisha kilele, unaushi kujifurahisha ww tu nakumchosha mwenzako
Akienjoy ataupenda tu mchezo
 
Kwa kweli namuheshimu sana siwez kufnya njia tofauti na wakt wa uzazi alisafiri haa!haa! Nilipata shida sitaki kukumbuka ilibaki kidogo tu nichepuke namshukur Mungu alinisaidia but mda mwingine uzalendo unanishnda kabisaa nambembeleza sana anipe tu kidogo then aendelee na shughuli zake..!

Katika suala la tendo la ndoa hakuna kupewa kidogo!.Hapa inaonesha kuwa wewe unajipendelea zaidi, wakati yeye hayuko tayari, wewe unakuwa umeshasimamisha.Kuna kazi.Ushauri ni kuwa labda mwanamke apendelee kupika vyakula vya wanga pia kwenye mboga asikose kuweka nyanyachungu inavichocheo vya kuongeza hamu ya ngono.Pamoja na hayo kaka yangu, kumbuka kuwa wanawake wanatofautiana kulingana n shughuli zetu za kila siku.Wengine wakipata dozi mara moja hata miezi mitatu humaliza bila kuhitaji.Punguza.
 
Katika suala la tendo la ndoa hakuna kupewa kidogo!.Hapa inaonesha kuwa wewe unajipendelea zaidi, wakati yeye hayuko tayari, wewe unakuwa umeshasimamisha.Kuna kazi.Ushauri ni kuwa labda mwanamke apendelee kupika vyakula vya wanga pia kwenye mboga asikose kuweka nyanyachungu inavichocheo vya kuongeza hamu ya ngono.Pamoja na hayo kaka yangu, kumbuka kuwa wanawake wanatofautiana kulingana n shughuli zetu za kila siku.Wengine wakipata dozi mara moja hata miezi mitatu humaliza bila kuhitaji.Punguza.
Makwetu axante kwa msaada wako wewe unaonyesha unaelewa vema mambo haya ni ukweli mtupu uliyoyasema huwa naongea nae na uniambia yeye anauwezo wa kukaa hata wiki 2 pasipo kufanya mapenzi nitamshauri apike zaidi vyakula hivyo vya wanga ili na yeye awe na uchu ila naogopa vyakula hivi visije kuniongezea uchu ikawa shida..!
 
Mmh...!hata hawezi kufanya hivyo but yeye anadai tu kuwa namchosha sana na mara kadhaa amekuwa akiniomba nipunguze hilo la kunisaliti sikubaliani nalo coz ananipenda nampenda sana..!

Wewe hujui subiri ukimbiwe kama mbasha then ubake
 
WanaJF habar zenu..ni miaka kadhaa tangu nioe lkn najishangaa nilivyo coz ninauchu sana wakufanya mapenzi yani mpaka mama watoto ananiletea noma anasema nimezidisha coz km ni amri yangu kila siku nipige mzigo sasa mke wangu yupo likizo na amegoma kubki home eti ananiambia anaenda kwao kupumzika ninamchosha mno naombeni nisaidieni eti huo uchu nilionao ni tatizo au kawaida tu..!!

Ilikuwaje uoe mwanamke msiyeendana kingono? Kama vipi we chepuka tu.
 
Mh inawezekana una ubinafsi unaridhika mwenyewe yeye humridhish so why anaona akapumzike shombo
 
Acha wife aende afu wewe vuta mwanamama mwingine ndani wa kupozea; win-win situation
 
Makwetu axante kwa msaada wako wewe unaonyesha unaelewa vema mambo haya ni ukweli mtupu uliyoyasema huwa naongea nae na uniambia yeye anauwezo wa kukaa hata wiki 2 pasipo kufanya mapenzi nitamshauri apike zaidi vyakula hivyo vya wanga ili na yeye awe na uchu ila naogopa vyakula hivi visije kuniongezea uchu ikawa shida..!

Vyakula hivyo kwa upande wake.Halafu wewe unatakiwa kufanya kazi za kukuweza uwe busy muda wote.Hata ikifika muda wa usiku uwe umechoka.Nina mashaka na kazi unayofanya.Labda si za kutumia nguvu, wala haupati misuko suku kutoka mwajiri wako.
 
Vyakula hivyo kwa upande wake.Halafu wewe unatakiwa kufanya kazi za kukuweza uwe busy muda wote.Hata ikifika muda wa usiku uwe umechoka.Nina mashaka na kazi unayofanya.Labda si za kutumia nguvu, wala haupati misuko suku kutoka mwajiri wako.

Makwetu unatufurahisha sana mimi na mke wangu pia anapitia huu uzi kafurah kuhusu kazi yangu mm nipo serikrini mda mwingi nipo ofcni pia ni kweli hazibani kivile japo cku mojamoja nakuwa bizzzee.!
 
WanaJF habar zenu..ni miaka kadhaa tangu nioe lkn najishangaa nilivyo coz ninauchu sana wakufanya mapenzi yani mpaka mama watoto ananiletea noma anasema nimezidisha coz km ni amri yangu kila siku nipige mzigo sasa mke wangu yupo likizo na amegoma kubki home eti ananiambia anaenda kwao kupumzika ninamchosha mno naombeni nisaidieni eti huo uchu nilionao ni tatizo au kawaida tu..!!

KUFANYA MAPENZI KWA WANA NDOA KWA WIKI MARA 3 KUNAPUNGUZA KUPATA SHAMBULIO LA MOYO (HEART ATTACK) KWA ASILIMIA 50% WANA SAYANSI WAMESEMA.


heart_disease_s1_heart.jpg


heart_disease_s7_cardiac_arrest.jpg


stock-photo-sexy-young-couple-kissing-and-playing-in-bed-115994308.jpg


Utafiti umebainisha kwamba kufanya mapenzi angalau mara tatu kwa wiki kunapunguza uwezekano wa kupatwa Heart Attack (Shambulio la Moyo) kwa 50% ukilinganishwa na yule ambaye anapitisha wiki nzima bila kupiga mambo yetu. Pia utafiti huo unasisitiza ya kwamba mwenye Kufanya Mapenzi killa siku anaondoa uwezekano wa kupata Heart Attack kwa Asilimia 100%


ZIJUE FAIDA ZA KUFANYA MAPENZI

Kiafya

Tendo la ndoa ni moja kati ya mazoezi ya mwili. Wataalamu wanasema kwamba, unapofanya tendo hilo mara tatu kwa wiki husaidia kupunguza kiasi cha mafuta mwilini na pia endapo mtu
atafanya tendo mara tatu kwa wiki kwa kipindi cha mwaka mzima ni sawa na kukimbia maili 75.

Tendo la ndoa
huongeza takriban vizalisha nguvu 150 kwa nusu saa ambayo ni sawa na kukimbia dakika 15 kiwanjani.

Kuongeza mwendo wa damu

Tendo la ndoa husaidia kuongeza kasi
ya mtiririko wa damu kwenye ubongo na sehemu nyingine ya viungo vya mwili, hii huchangia kuongeza kasi ya mapigo ya moyo na kuboresha mfumo wa upumuaji. Msukumo thabiti wa damu mpya yenye oxygen na homoni zenye chembe chembe hai zinapopenya kwenye mishipa ya damu husaidia katika uunguzaji wa chakula, pia huondoa kiasi cha uchafu ambao ungesababisha mishipa na kushindwa kufanya kazi na kumfanya mwanadamu apate maumivu ya mwili.

Hupunguza mafuta yenye kileo
(Cholesterol)
Tendo la ndoa huweka sawa uwiano wa
mafuta yenye kileo (Cholesterol) nzuri na cholesterol mbaya na wakati huo hupunguza kwa ujumla kiasi cha mafuta yenye kileo mwilini.

Kupunguza maumivu

Wakati wa kufanya mapenzi, homoni iitwayo oxytosin huzalishwa mwilini ambayo husababisha kuzalishwa kwa homoni iitwayo endorphin ambazo hupunguza maumivu kama vile kuvimba sehemu za viungo (arthritis) maumivu ya shingo (Whiplash) na maumivu ya kichwa.

Ulinzi wa tezi ya kibofu (mwanaume)
Majimaji yanayozalishwa katika tezi ya kibofu (prostate) yakizidi husababisha kuleta matatizo mwilini. Tendo la ndoa la mpangilio huondoa uzalishaji wa majimaji hayo yenye madhara.

Mabadiliko ya ghafla ya tendo la ndoa
huelekea kuleta matatizo yahusianayo na tezi ya prostate.

Kupunguza mfadhaiko wa moyo

Kujitosheleza na kupumzisha mwili baada ya tendo la ndoa ni muhimu kwa kutuliza akili na kurekebisha mzunguko wa damu mwilini. Watu wenye kushiriki tendo la ndoa wanatajwa kushinda mfadhaiko na kupata usingizi mnono hasa mara baada ya kumaliza kufanya mapenzi.

Huongeza uzalishaji wa homoni za
kiume(testosterone) na za kike (Oestogen)
Faida nyingine inayopatika
ni kuongeza uzalishaji wa homoni za kiume na za kike likiwemo suala zima la msukumo wa kufanya tendo hilo ambapo mhusika hutosheka zaidi ya yule ambaye hana mazoea ya kufanya mapenzi. Hata hivyo, baadhi ya madaktari wamegundua kwamba ongezeko la homoni za kiume/ kike huweza kuwakinga wanadamu na magonjwa ya moyo.

Kuishi muda mrefu
huku ukionekana kijana
Wakati wa
tendo la ndoa homoni iitwayo DHEA huzalishwa mwili mzima. Hii husaidia msisimko wa mapenzi kuongezeka.

Kutokana na elimu hiyo DHEA ni
kemikali yenye nguvu duniani ambayo husaidia kuweka sawa kinga ya mwili, huongeza ufahamu, kuimarisha mifupa, kutengeneza na kuimarisha afya na kuimarisha mishipa ya moyo (Cardiovascular).

Hupunguza baridi na mafua

Elimu inaonesha kuwa wanaofanya
tendo la ndoa mara moja au mbili kwa wiki huongeza 30% ya uzalishaji wa chembe chembe hai za mwili ziitwazo Immunogloulin A ambazo huwa na kazi ya kuulinda mwili dhidi ya magonjwa.

Hizo ni faida chache tu za kufanya
tendo la ndoa.

NB: Jambo kubwa la kuzingatia ni
kuwa faida hizi hupatikana kwa ufanyaji wa mapenzi usiokuwa na hofu ya kufumaniwa au kuumbuliwa

HAYA KWA WANA NDOA FANYENI MAPENZI JAPO KWA WIK MARA 3 MUPATE FAIDA ZA TENDO LA MAPENZI NDANI YA NDOA. KWA WALE WASIOWA HAWAPATI HIZI FAIDA SHAURI YENU MSIE OWA OWENI MUPATE FAIDA ZA TENDO LA NDOA.
[h=1]Topic: Kufanya mapenzi kwa wanandoa kwa wiki mara 3 kunapunguza kupata shambulio la Moyo![/h]
 
hausikii utamu wako. mb*oo tamu hata kama unakula mzigo kila siku. jichunguze. je una kiharufu? same styles? same venue? unatumia mabavu? kwa kifupi hakuna utamuuuuuuu
 
Mkuu mzizi mkavu asante kwa kunipa moya nitaendeleza dozi zangu kwa mama watoto kama kawa..!
 
inaonekana unasugua sana hadi panawaka moto duuu hapo hata mimi naenda zangu likizo kwetuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Back
Top Bottom