Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
- Thread starter
- #181
Hahahahahahaha weye Ivuga umenichekesha sana na maua yako chocolate etc LOL! Vipi umeongea na mtoto au bado kakununia?
bado mkuu,mtoto yuko india huko south kuna mji sijui unaitwa bangalo sijui ... nadhani hajapata internet bado..but feedback zote nitawapa...kuna jamaa humu wanadhani nimetunga but sio hizo ingekuwa ya kutunga ningeiweka kwenye jokes!!! JF- genuine