Nisaidieni jamani mwanamke katishia kuniua

Nisaidieni jamani mwanamke katishia kuniua

Hahahahahahaha weye Ivuga umenichekesha sana na maua yako chocolate etc LOL! Vipi umeongea na mtoto au bado kakununia?

bado mkuu,mtoto yuko india huko south kuna mji sijui unaitwa bangalo sijui ... nadhani hajapata internet bado..but feedback zote nitawapa...kuna jamaa humu wanadhani nimetunga but sio hizo ingekuwa ya kutunga ningeiweka kwenye jokes!!! JF- genuine
 
mmmhh ivuga ndugu yangu ilikuwaje kwani???usighofu lakin ni bit tuu si wajua tena wanawake kwa maneno alhamdulillah we mdang'anye danganye tuu atakuelewa. ok?? inshallah all dah best ..
bado mkuu,mtoto yuko india huko south kuna mji sijui unaitwa bangalo sijui ... nadhani hajapata internet bado..but feedback zote nitawapa...kuna jamaa humu wanadhani nimetunga but sio hizo ingekuwa ya kutunga ningeiweka kwenye jokes!!! JF- genuine
 
mmmhh ivuga ndugu yangu ilikuwaje kwani??? busighof lakin ni bit tuu si wajua tena wanawake kwa maneno alhamdulillah we mdang'anye danganye tuu atakuelewa. ok?? inshallah all dah best ..
asante sana dear
 
bado mkuu,mtoto yuko india huko south kuna mji sijui unaitwa bangalo sijui ... nadhani hajapata internet bado..but feedback zote nitawapa...kuna jamaa humu wanadhani nimetunga but sio hizo ingekuwa ya kutunga ningeiweka kwenye jokes!!! JF- genuine

Miye nimeamini ulichoandika ni kweli lakini usisahau sala maana ni muhimu sana.

 
Miye nimeamini ulichoandika ni kweli lakini usisahau sala maana ni muhimu sana.

Hahahha mie simuamin
yap... thats true.....
ahh wapi sikio la kufa!
uuuhhhhh wiiiiiiiii
jamani
nini tena kulikni Ivunga wangu??
yaani tangu niondoke naona kila mtu anakuambia R.I.P
hadi bibi mzuri Maria Roza anataka kujua kama unataka akuzike au akuchome...

Nini tena jamani.
Mbona hakuna kosa alilofanya wapendwa??
mna mhukumu bure..
mmhh hizi mbona ni zile za Pilato??

Nitakutafuta unifundhishe kushuka vina hhahahha :A S kiss::A S kiss::A S kiss:
 
Huyo mdada atakuwa ni mmachame nini? Maana wamachame ndo kazi yao kuua wanaume!!!!!!!!! Pole sana kijana, jaribu kukwepa kuwakaribia wamachameeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Huyo mdada atakuwa ni mmachame nini? Maana wamachame ndo kazi yao kuua wanaume!!!!!!!!! Pole sana kijana, jaribu kukwepa kuwakaribia wamachameeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

hakuna ..mdada sio mtzd
 
Dah...dada hapa yeye anaogopa tuu MIMBA not anything else> by the way hivi kondom hutumika kwa lengo la kuzuia tuu mimba au pamoja na magonjwa ya zinafaa?
 
Kwa hiyo ilikuwa inakupwaya ee, next time kuepusha shari tafuta saizi yako, lakini huyo honey wako naye kitu kimebaki humo hata hafeel kitu mpaka baadaye lol!
 
afrodenzi dada yangu nakupenda
japokuwa mimi sio mpemba
nitakupa mambo motomoto kama marashi ya pemba
hii stori ya leo ni kweli imetpokea na wala sio pumba,
na nikija kutana na wewe tutakuwa ndani ya chumba
na yatakayotokea yanabakia humuhumo ndani ya nyumba

No wonder! ndio maana hata condom ilibaki mule mule ndani ya nyumba, kumbe unauzoefu na matukio ya hivyo bwana ila uliyempata safari hii ndio hajapenda hiyo staili, uwe unawauliza kwanza kama wanataka ibaki au itoke, samahani lakini Ivuga ushairi ndio umenistua..
 
imekuaje ikabaki humo?
na ulizyodhani imepasuka hukutaka kuangalia hivyo vipande kwanza na kutoa kuvaa nyingine,au ulidhani imepepea??

anyway pole sana,na nakuhakikishia hapo mimba hamna.

ushauri: siku ingine hakikisha mpira umekutait ili tatizo hilo lisijirudie tena!!!!
 
ila uandikaji wa huyu dada anaonekana ni kimeo!
ulimtoa wapi?
hawezi kukua,wala sioni kwa nini uogope.
 
r01.jpg
7c8260ed2043759e2ff8dab6091562dd.jpg

Afrodenzi mtoto wa kiafrika
kwa heri ya kuonana na mola akupe zake baraka
na zawadi ya maua nimekuaptia na wala sio takataka
umeisuuza roho yangu na imetakata,kama mtu asiye na mashaka

afrodenzi siwezi hesabu baraka zote, kwani nyingine sinto zitambua
Kama nyota za mbinguni kule, jaribu wewe kunihesabia
Ingawa nina matatizo mengine, siwezi tupia MUNGU lawama
Kukosa viatu nijililie, je mkosa miguu si atajinyonga?
Ingawa ulimwengu hauna simile, NAHESABU BARAKA
leo upo nami bila simile,na uwepo wako nautambua
ee mola inabidi nikulilie,afrodenzi aweze tambua

ngoja nimalizie hapa, nisije vuka mpaka
nakuheshimu we dada ,afrodenzi mama afrika
japo naishi kwa shaka,ila mola hana mipaka
ataniepushia hii shida,kwani sikuitaka
mimi binadamu nna makosa ,mbele zake kutubu sintoacha
msamaha kwa wadada na wamama,ndani ya jf na kila kona
nitawapenda daima,na kuwaheshimu kila masaa
hatakama mauti itanikuta ,ila msamaha nishawaomba
sikujua kuwa yatanikuta ,makubwa kama haya
na bahatimbaya nikijaondoka,mpeni ujumbe wangu bila haya
asipelekwe mahabusu wala jela,wala kumsumbuasumbua
mawakili na wanaharakati hapa,najua mtamsaidia



hii stori ni ya kweli guys !!!!na nawashukuru wote kwa ushauri

mmmhh mama wee
mmhh ngoja ni observe hii 1st..
is to sweet to swallow
is to beautiful to share..
is to wonderful to touch..
is to special to sell
ooohh dear
Ivunga Ivunga
mmmhhh
kweli umenichua mpaka maani dear..
 

mmmhh mama wee
mmhh ngoja ni observe hii 1st..
is to sweet to swallow
is to beautiful to share..
is to wonderful to touch..
is to special to sell
ooohh dear
Ivunga Ivunga
mmmhhh
kweli umenichua mpaka maani dear..

Eheeee haya
 
Hahahha mie simuamin

Nitakutafuta unifundhishe kushuka vina hhahahha :A S kiss::A S kiss::A S kiss:


hahahah lol
oohh dear
mie kwenye hiyo idara ya mashahiri nimejitoa kaisa dear..
kuna wataalum humu ndani wa hiyo idara si mchezo..
mmhh
ngoja ni mwambie mmoja wapo aku bep
hahah lol
namba ya simu ni ile ile au tangu u up date kutoka kwenye ile ya tochi mpaka Iphone
ukaamua kubadilisha hahaha lol
maana siku hizi si mchezo dear kila mtu anagusa tuu.. kubonyeza bonyeza hiyo ni ya 2010 hahah
imepitwa na wakati hahah lol
 
Back
Top Bottom