Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu ya form four, nipo kanda ya ziwaUp wap
Taja Elimu yako
Umri nk
Asante kiongoziPole sana mkuu.
Mm nipo dsm so kama upo Bukoba Nambie piAElimu ya form four, nipo kanda ya ziwa
Mimi mkazi wa Shinyanga mkuuMm nipo dsm so kama upo Bukoba Nambie piA
Asante mkuuMkuu walau ungetaja hata ujuz wako wowote ule
Humu jf kila mtu n boss anakampun bila shaka utapata tu
Mambo yakibana sana nitaangalia namna uje tusaidizane kuziba pancha baiskeli za watu hapa kange Tanga
Ok Mkuu ngoja waje watu was huko.Mimi mkazi wa Shinyanga mkuu
Asante mkuuPole sana ndugu… nakupongeza kwa kuwa wazi Maana ni ujasiri uliotukuka. Mungu akuongoze, natumaini utapata alternative hivi karibuni. Kuwa na imani
Ww ni ke au me? Weka picha yako na mawasiliano yako nina kazi nzuri nitakupatia ila ya usiku wa mananeNina shida sana hali ngumu, nahisi kukata tamaa. Yoyote anisaidie kazi yoyote. Maana sina hela na nyumbani na nahitaji kupata mahitaji yangu Kama sabuni, nguo nk.
Nimeona niweke wazi tu wenda kuna mtu humu atanisaidia.
Mimi man mze mpwayungu villageWw ni ke au me? Weka picha yako na mawasiliano yako nina kazi nzuri nitakupatia ila ya usiku wa manane
Bado mkuu, wanawake wengi nikiwafata wanataka fedha mkuu. Ko bado sina familiaUna familia na mtoto au
Yeap ndo mda pambana usiwaze kwa sasa ukipata kazi na pesa utafika hukoBado mkuu, wanawake wengi nikiwafata wanataka fedha mkuu. Ko bado sina familia
Sio kweli kwamba kila mtu ni boss humu na ana kampuni yake mkuu 😂 hapo umetoa bokoMkuu walau ungetaja hata ujuz wako wowote ule
Humu jf kila mtu n boss anakampun bila shaka utapata tu
Mambo yakibana sana nitaangalia namna uje tusaidizane kuziba pancha baiskeli za watu hapa kange Tanga