Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo salamu yako tu ,hata kama mtu alitaka kukuzingatia atashindwa ,anaweza jua wewe ni muhuni ila kumbe sioo ni salamu ya hiyo niaje tu ,rekebisha uwasilishajiWakuu niaje,
Mimi ni recent graduate wa Bsc. Environmental Sciences and Management kutoka SUA.
Naombeni mnishike mkono kwa yeyote mwenye kazi ya halali walau nipate chochote kitu.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Upo mkoa gani?Wakuu niaje,
Mimi ni recent graduate wa Bsc. Environmental Sciences and Management kutoka SUA.
Naombeni mnishike mkono kwa yeyote mwenye kazi ya halali walau nipate chochote kitu.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
WagwanAndika "niaje" kwa kimombo....
Dar es salaam (Kimara)Upo mkoa gani?
Asante kaka....nitarekebisha, honestly mm sio muhuni.Hiyo salamu yako tu ,hata kama mtu alitaka kukuzingatia atashindwa ,anaweza jua wewe ni muhuni ila kumbe sioo ni salamu ya hiyo niaje tu ,rekebisha uwasilishaji
Nimecheka😂ye kadhani humu wote ni rika moja kumbe kuna wakubwa kwa wadogoHiyo salamu yako tu ,hata kama mtu alitaka kukuzingatia atashindwa ,anaweza jua wewe ni muhuni ila kumbe sioo ni salamu ya hiyo niaje tu ,rekebisha uwasilishaji
Wagwan
Jaribu kwenda NEMC ofisin kwao huenda wewe wakakukubalia hata internship, mimi walinizungusha huenda sababu nimesoma BSc. Forestry... all the best mkuuHabari,
Mimi ni recent graduate wa Bsc. Environmental Sciences and Management kutoka SUA.
Naombeni mnishike mkono kwa yeyote mwenye kazi ya halali walau nipate chochote kitu.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Unataka akafe?Nenda Buguruni kwenye kiwanda cha bakharesa kuna kazi nyingi sana za kubeba viroba vya unga utakuja kunishukuru
Upo mkoa ganHabari,
Mimi ni recent graduate wa Bsc. Environmental Sciences and Management kutoka SUA.
Naombeni mnishike mkono kwa yeyote mwenye kazi ya halali walau nipate chochote kitu.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Habari,
Mimi ni recent graduate wa Bsc. Environmental Sciences and Management kutoka SUA.
Naombeni mnishike mkono kwa yeyote mwenye kazi ya halali walau nipate chochote kitu.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Wanaua huko👀Unataka akafe?
Viroba zaidi ya 200 per day unaweza?Wanaua huko👀
Punguza jazba Mama watoto mtoto mseme kwa upoleKama ni SUA basi tena.
Hii ndii ile degree mnasoma kemia,baioloji,hesabu na geography sio?
Na watu wazima mna akili timamu mkasoma hizo takataka kabisa?
Wanaoweza wako kazini huko kila sikuViroba zaidi ya 200 per day unaweza?
Mpe hio pande PM Mama watotoUpo mkoa gan
Sasa km sio mzoefu unaenda kujiuaWanaoweza wako kazini huko kila siku