Nisaidieni kazi yoyote ya halali. Mimi ni Mhitimu mpya wa Chuo

Nisaidieni kazi yoyote ya halali. Mimi ni Mhitimu mpya wa Chuo

Habari,

Mimi ni recent graduate wa Bsc. Environmental Sciences and Management kutoka SUA.

Naombeni mnishike mkono kwa yeyote mwenye kazi ya halali walau nipate chochote kitu.

Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Mchek Dotto Magari
 
Back
Top Bottom