Nisaidieni kuhusu Toyota Voltz; Uimara, mafuta, matunzo, bei

Nisaidieni kuhusu Toyota Voltz; Uimara, mafuta, matunzo, bei

Hahahhah nashangaa, mkuu naipenda voltz, mimi sio mtalaam wa magari, kwa hio nisihofu kuhuusu spea right?, mimi i dont care about resale price
Usikhofu mkuu, ni gari nzuri tu, na ndio maana hakuna anaeelezea tatizo la hii gari ni nini hasa, kuuza kingi au kidogo sokoni ni mahitaji ya mnunuzi kwa mahitaji yake. Ni sawa na kwenda dukani ukanunua chumvi na sukari, kipi utanunu kingi au kidogo. Sisi wa Tz kila gari kwetu ni mbaya na tukiambiwa ubaya wake ni nini tunashindwa kuutaja, kala hili Engine ya 1ZZ ikiwa ktk Voltz inakuwa mbovu na pea zake ni Gharama ila ikiwa ktk Premio inakuwa nzuri na spea ni rahisi. Kitu ambacho hakiingii akilini.
 
Usikhofu mkuu, ni gari nzuri tu, na ndio maana hakuna anaeelezea tatizo la hii gari ni nini hasa, kuuza kingi au kidogo sokoni ni mahitaji ya mnunuzi kwa mahitaji yake. Ni sawa na kwenda dukani ukanunua chumvi na sukari, kipi utanunu kingi au kidogo. Sisi wa Tz kila gari kwetu ni mbaya na tukiambiwa ubaya wake ni nini tunashindwa kuutaja, kala hili Engine ya 1ZZ ikiwa ktk Voltz inakuwa mbovu na pea zake ni Gharama ila ikiwa ktk Premio inakuwa nzuri na spea ni rahisi. Kitu ambacho hakiingii akilini.
mbona 1nz ni engen nzuri mkuu ila hizi gari spare zilikuwa changamoto taa kubwa ya mbele ilikuwa inacheza 1.2m sijajua tatizo lilikuwa nini
 
Unaipendea nini hiyo gari mkuu? Isije kuwa kukosa exposure ya kujua magari mengine kunakuponza ndio maana unataka kununua hilo shipa. Hebu tuanzie kwanza kipengele kimoja baada ya kingine mfano driving experience, je umeshawahi kuiendesha? Pili, muonekano ( it’s one of the worst looking)! Tatu, fuel economy sio one of the fuel economical. Nne, performance yake sio nzuri ukilinganisha gari za same class. Tano, spares zake pia sio cheap. Na mwisho kabisa umejiuliza Kwann hiyo gari ilizalishwa ndani ya muda mfupi(2002-2004) kuwa discontinued baada ya kupata mauzo kiduchu sana ya gari 10k tu ?
Inachakaa vibaya ile gari hakuna mfano.
 
Unaipendea nini hiyo gari mkuu? Isije kuwa kukosa exposure ya kujua magari mengine kunakuponza ndio maana unataka kununua hilo shipa. Hebu tuanzie kwanza kipengele kimoja baada ya kingine mfano driving experience, je umeshawahi kuiendesha? Pili, muonekano ( it’s one of the worst looking)! Tatu, fuel economy sio one of the fuel economical. Nne, performance yake sio nzuri ukilinganisha gari za same class. Tano, spares zake pia sio cheap. Na mwisho kabisa umejiuliza Kwann hiyo gari ilizalishwa ndani ya muda mfupi(2002-2004) kuwa discontinued baada ya kupata mauzo kiduchu sana ya gari 10k tu ?
Voltz, Vista, Opa hizo gari zina mfanano tena bora hata Opa iliuza uza toka 2000-2005 ila hao wengine ni hewa tu. Vista ina generations 5 ila ya mwisho ndio ilikuwa mbovu kishenzi.
 
Naijua vizuri. Ni nzuri sana ikiwa mpya ila Inachakaa vibaya kama mabinti wa Kitusi.
Kama unaijua vizuri na unasema ni nzuri sana basi ukiona imechakaa basi mmiliki alishindwa kuitunza maana ukiichakaza Voltz kwa miaka 5, basi miliki LAND-Cruiser la Polisi maana kwa hizi tu kina Wish, Premio, Opper, Noah, Allion, Carrina, Ist, Mark II, Runx, Allex nk, utazichakaza kwa mwaka mmoja tu na kuuza skrepa mkuu.
KITUNZE KIDUMU.
 
Kwenye hii gari nina machache ya kuzungumza
1.perfomance
Iko poa maana inatumia engine
Ya 1zz vvti one of the best kwenye perfomance na fuel.consumption
Vipuri vyake ni vingi

2.other spare parts
Hapa ndo kuna shida
Rafika angu aliibiwa parts za hii gari nyumbani kwake
(Bamper,taa,power window,side mirrow)
Aisee kuzipata ilikuwa changamoto sana
Kama alivyosema mchangiaji hapo juu hizi gari ziko chache

Hapo unaweza amua mwenyewe
Kuchukua based on perfomance
Ama kutochukua based on spares
 
Unaipendea nini hiyo gari mkuu? Isije kuwa kukosa exposure ya kujua magari mengine kunakuponza ndio maana unataka kununua hilo shipa. Hebu tuanzie kwanza kipengele kimoja baada ya kingine mfano driving experience, je umeshawahi kuiendesha? Pili, muonekano ( it’s one of the worst looking)! Tatu, fuel economy sio one of the fuel economical. Nne, performance yake sio nzuri ukilinganisha gari za same class. Tano, spares zake pia sio cheap. Na mwisho kabisa umejiuliza Kwann hiyo gari ilizalishwa ndani ya muda mfupi(2002-2004) kuwa discontinued baada ya kupata mauzo kiduchu sana ya gari 10k tu ?
😄😄 Brevis,Verosa nazo zilitengenezwa kwa kipindi kifupi na zikawa discontinued, tueleze Zina changamoto gani hapa kwa wazee wa magari used(wabongo)?
 
😄😄 Brevis,Verosa nazo zilitengenezwa kwa kipindi kifupi na zikawa discontinued, tueleze Zina changamoto gani hapa kwa wazee wa magari used(wabongo)?
Kwanza unalionaje soko la hizo gari hata huku kwetu? Unafikiri kwanini zinauzwa bei ya kutupwa km zipo super?
 
Kwanza unalionaje soko la hizo gari hata huku kwetu? Unafikiri kwanini zinauzwa bei ya kutupwa km zipo super?
😄😄 Hivi unajua hizo Gari zilitamba kuanzia miaka gani mpk miaka gani hapa Tz?

So na gx100/110 zinazouzwa kwa Bei ya kutupwa hapa bongo nazo unasemaje?
 
Back
Top Bottom