Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
Olewa shauri yako usine ukawa gazeti la jioni miaka inasonga na value yako inashukaHabari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto
Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
Kwani kuna binti wa kiume?Mimi ni binti WA kike
Ana mtoto bila mke?.ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto
Kakupenda.Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto
Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
Sawa mkuuAise hivi kumbe kuna wanaume bado wana lilia ndoa! Ama kweli dunia haishi vituko.
Huyo mkubalie haraka sana kabla jua halijazama kupunguza idadi ya single maza baadae.
Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto
Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
Mdada aliezaa nae keshaolewaAna mtoto bila mke?.
Acha nimshikilie basi🙂↔️Kakupenda.
Kwani kuna wanawake wangapi mtaani wenye kiu ya kweli kwa mahusiano ya ndoa, hajawaona, kwanini wewe tu, haujiulizi?
Wee endelea na msimamo wako huo usio nna mashiko, akichoka kukufuatilia, upendo wake kwako utadrop na kufanya maamuzi mengine.
swali gani hili sasa nawe unamuuliza!Ndie aliyekutoa bikra
😅😅😅DuhKwani kuna binti wa kiume?