Nisaidieni kujua kwanini huyu kaka kaniganda kwa miaka minne

Nisaidieni kujua kwanini huyu kaka kaniganda kwa miaka minne

Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto

Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
Akitokea binti wa kiume utanijulisha.

Tuseme yuko tayari kukuoa je wewe uko tayari kuolewa naye? Kaka unampenda na uko tayari kipimo kwake mwambie aende nyumbani kujitambulisha taratibu za ndoa zianze. Ila kama ni swala la mgegedo hilo liko mikononi mwako kuamua
 
Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto

Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
kama anasema anania ya kukuoa mwambie akakutambulishe kwao na akutolee kishika uchumba!.

nimekumbuka ulisema anamtoto..?
mh! subiri kwanza ngoja narudi..😅
 
Akitokea binti wa kiume utanijulisha.

Tuseme yuko tayari kukuoa je wewe uko tayari kuolewa naye? Kaka unampenda na uko tayari kipimo kwake mwambie aende nyumbani kujitambulisha taratibu za ndoa zianze. Ila kama ni swala la mgegedo hilo liko mikononi mwako kuamua
Kasema huu mwezi akitoka safarini anakuja moja kwa moja
 
Back
Top Bottom