Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
- Thread starter
- #21
AsanteOlewa shauri yako usine ukawa gazeti la jioni miaka inasonga na value yako inashuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsanteOlewa shauri yako usine ukawa gazeti la jioni miaka inasonga na value yako inashuka
Akitokea binti wa kiume utanijulisha.Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto
Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
Hatukuwai fanya mapenzi adi Leo hhiiNdie aliyekutoa bikra
kama anasema anania ya kukuoa mwambie akakutambulishe kwao na akutolee kishika uchumba!.Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto
Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
Kasema huu mwezi akitoka safarini anakuja moja kwa mojaAkitokea binti wa kiume utanijulisha.
Tuseme yuko tayari kukuoa je wewe uko tayari kuolewa naye? Kaka unampenda na uko tayari kipimo kwake mwambie aende nyumbani kujitambulisha taratibu za ndoa zianze. Ila kama ni swala la mgegedo hilo liko mikononi mwako kuamua
Kasema mama yake ananifahamuu..ndio an mtotokama anasema anania ya kukuoa mwambie akakutambulishe kwao na akutolee kishika uchumba!.
nimekumbuka ulisema anamtoto..?
mh! subiri kwanza ngoja narudi..😅
mi sipendagi kuingilia maswala ya hivi nyie viumanisheni hukohuko!..🤣Kasema mama yake ananifahamuu..ndio an mtoto
😭😂mi sipendagi kuingilia maswala ya hivi nyie viumanisheni hukohuko!..🤣
nina maana yangu kumuuliza hivyoswali gani hili sasa nawe unamuuliza!
Maamuzi mema... ukimuacha sawa ukimchukua sawa!.
sijapenda!nina maana yangu kumuuliza hivyo
Sawa mkuuMaamuzi mema... ukimuacha sawa ukimchukua sawa!.
Kuna binti wa kiume?binti WA kike
Kwann hujapendasijapenda!
Typing error ioKuna binti wa kiume?
Salama tuMambo mshangazi
swali private hilo, heshimuni faragha za watu labda awe ameamua ku share mwenyewe!. ama ungemfata pm usirudie siku nyengine...😅😅N
Kwann hujapenda
Mi selewi ujueSalama tu
Hujaelewa wapiMi selewi ujue