Marcy
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,430
- 5,910
Hapo anatafuta kile anachokisumbukia kwa muda mrefu akisha kipata ๐๐๐๐๐ utaona vumbi tu mpendwaHatukuwai fanya mapenzi adi Leo hhii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo anatafuta kile anachokisumbukia kwa muda mrefu akisha kipata ๐๐๐๐๐ utaona vumbi tu mpendwaHatukuwai fanya mapenzi adi Leo hhii
Sawa kaka mkubwa sirudii tena๐ค๐ค๐ค๐คswali private hilo, heshimuni faragha za watu labda awe ameamua ku share mwenyewe!. ama ungemfata pm usirudie siku nyengine...๐ ๐
Kumbe ni mwendo wa kuona kivumbi๐Hapo anatafuta kile anachokisumbukia kwa muda mrefu akisha kipata ๐๐๐๐๐ utaona vumbi tu mpendwa
mi sio kaka mkubwa mi bado kinda!.. unataka kuninyima nini kwa kuniita kaka halafu mkubwa..?๐Sawa kaka mkubwa sirudii tena๐ค๐ค๐ค๐ค
Mwambie akununulie kiwanja na gari vyote viwe kwenye majina yako.Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto
Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
Kweli kabisa isee!ulikuwa unamnyonya kijinga chake hukujua kama unapanda usumbufu mbeleni
Kukunyima tena ???usitake ninuniwe na miss natafuta fanya hima anakuhitajimi sio kaka mkubwa mi bado kinda!.. unataka kuninyima nini kwa kuniita kaka halafu mkubwa..?๐
Unajishitukia?mi sio kaka mkubwa mi bado kinda!.. unataka kuninyima nini kwa kuniita kaka halafu mkubwa..?๐
Huo uwezo alisema live hanaMwambie akununulie kiwanja na gari vyote viwe kwenye majina yako.
Dunia iko speed sana...siku hizi hadi kuna mabinti wa kike...upinde wametuharibia kizazi...Mimi ni binti WA kike....
Hapana anunulie kiwanja, gari Kisha amfungulie biashara vyote Kwa majina yakekama anasema anania ya kukuoa mwambie akakutambulishe kwao na akutolee kishika uchumba!.
nimekumbuka ulisema anamtoto..?
mh! subiri kwanza ngoja narudi..๐
huyo anaishi kwa jina lake "Natafuta!" ataendelea kutafuta hivyohivyo, usiogope kununiwa..๐Kukunyima tena ???usitake ninuniwe na miss natafuta fanya hima anakuhitaji
we unawezaHapana anunulie kiwanja, gari Kisha amfungulie biashara vyote Kwa majina yake
Piga chini kenge hiyo mwambie akatafute pesa.Huo uwezo alisema live hana
Bora mmenielewa vzr๐Dunia iko speed sana...siku hizi hadi kuna mabinti wa kike...upinde wametuharibia kizazi
Kumbe ni mwendo wa kuona kivumbi๐
Hela anayo ila sio ya kununua gari ...yakunitimizia mahitaji ipoPiga chini kenge hiyo mwambie akatafute pesa.
Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto
Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
mkuu utanisamehe.. kula chuma hiyo!๐Unajishitukia?
Kwani ukiheshimiwa ama kupigwa na 'lishikamoo', hupewi?