Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
- Thread starter
- #61
😂😂😂😂Kazi ipo hapa🤣🤣🤣🤣🤣kama anataka kukuoa kweli afuate hatua zote za kufunga ndoa utampea kwenye honeymoon😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Kazi ipo hapa🤣🤣🤣🤣🤣kama anataka kukuoa kweli afuate hatua zote za kufunga ndoa utampea kwenye honeymoon😅😅
Kama siwezi ishi bila hiyo pisi nitapambana mpaka niipatewe unaweza
Tutapima usihofuAtakuwa na ukimwi huyo
pisi gani..?Kama siwezi ishi bila hiyo pisi nitapambana mpaka niipate
NtatoaToa nyasi ww utakufa na utam wako km muwa
I want make the right choiceKuna mdada humu alikuwa analialia ana miaka 30+ hajaolewa wala hana mtoto... Nawe dengua siku moja uje na uzi mwingine
umepata bahati ya kupendwa pendeka🤣🤣usimwangushe mwezio jali hisia zakehuyo anaishi kwa jina lake "Natafuta!" ataendelea kutafuta hivyohivyo, usiogope kununiwa..😀
Nawewe jali hisia zangu sasa!umepata bahati ya kupendwa pendeka🤣🤣usimwangushe mwezio jali hisia zake
Ukifika 30+ unitafute nikusitiri kama utakua bado hujaolewaI want make the right choice
Au sio😭Sikuingizi cha kiume ni kweli nataka kukuwowa😊
Ntakuwa mshangazi wakoendelea KURINGA uzeekee kwenu!
Fanya unalolisikia moyoni mwako na siyo kwa kutaka kumuhurumia kama anavyotaka yeye,huku ukijua kuwa furaha ya ndoa itakuwa yako na machungu ya ndoa ni yako mwenyewe na ikishafungwa ni pingu isiyofunguka.Mdada aliezaa nae keshaolewa
Mdada aliezaa nae keshaolewa
zipeleke kwa miss zitapetiwa hukoNawewe jali hisia zangu sasa!
Kuna binti wa kiume hapa jirani yangu...anawapelekea moto wenzie kama hana akili nzuri!Bora mmenielewa vzr😅
Nataka wazo lako nichanganye na langu nipate jibuUnataka tukusaidie nini wakati wewe ndiye uliyeifinyia kwa ndani
Niulize kwanzaHabari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto
Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!