Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
- Thread starter
- #101
Aya mkuuUkifiksha miaka 35 utahitaj yoyote anaepumua kikubwa n mwanaume saiv tamba Mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aya mkuuUkifiksha miaka 35 utahitaj yoyote anaepumua kikubwa n mwanaume saiv tamba Mama
Si umeshasema hauko tayari kwa Ndoa Dadangu?Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto
Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
Hatujawahi kufanya penzi ata mara mojaNiulize kwanza
JE bado unamtunuku penzi?
Km unamtunuku, anakujali?
Km mnatunukiana, je unampenda?
Tuanzie apo kwanza
Naweza kukubali uamuzi ukawa sio sahihi na naweza kukataa.uamuzi ukawa si sahihi ndo maana nimekuja JfSi umeshasema hauko tayari kwa Ndoa Dadangu?
Sasa haya maswali kama Jamaa anamaanisha kukuoa unatuuliza ya nini? Au unataka kubadili msimamo wako?
Ngoja ninyamaze kabla hujasitisha kunioa🙂↔️Yeah halafu sipendi kukuona ukilia hadharani😂
Typing errorumesema wewe ni binti wa kike. ina maana kuna binti wa kiume
AsanteUkifikisha 30yrs uanze kwenda kwa Manabii kuombewa uolewe. Wakati watu wanakuja unakataa
Sawa. Unampenda?Hatujawahi kufanya penzi ata mara moja
Achana nae njoo kwanguTyping error
so bitNgoja ninyamaze kabla hujasitisha kunioa🙂↔️
Chukua leso hapo kwa mangi nitalipia pole sana
I have mixed feelingsSawa. Unampenda?
🫡♥️so bit
Nakuja 😁Achana nae njoo kwangu
ahsanteChukua leso hapo kwa mangi nitalipia pole sana
Ni either unampenda au humpendiI have mixed feelings
Nakuja