Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Ni miaka mingi aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni miaka mingi aisee
Acha niishi naeDada shukuru MUNGU huyo jamaa ni mvumilivu,wanaume wa hivyo wamebaki wachache sana
Ningekuwa mimi ingekuwa nshaoa mke mwingine na nina watoto kama wawili na mimba juu
Mkuu apo umeongea pointAcha niishi nae
Hujapenda kisa nini wewee?sijapenda!
tulia weweHujapenda kisa nini wewee?
Kama anakutafuta baada ya mda anaacha then anaanza tena kukutafuta .huyo anataka kukutafuna/kukukula tu.Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto
Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
Kuna huyo. Demu alinambia hataki kupangiwa masharti ya kuwahi nyumbani kwo sahivi anaunga degree🤣she 21 anasema Ataolewa 2031 akiwa 28Uzuri unavyozidi kuchelewa ndo value yako inashuka
Hivi Ata kama niwewe ukute kisa Aki utabaki mwanangu kwanza hao ni kimoko tu🤣Subiri ukichinda utakuwa na majibu; ukithibitisha mwanaume anakupenda usimkatae, ila usikubali kufunuliwa kirahisi, wakati mwingine Speed zote hizo ni akufunue tu akute arufu aende!
usisahu na pilipili😂Mkuu NoncChalant usininyime mwaliko wa harusi yenu na ntakuja na ndizi mbivu kabisa kwenye koti
Wewe umesema hutaki kuendelea naye kwa sababu ana mtoto, at the same time unataka kujua kama ana maanisha swala kukuoa au anakuigizia, Tukueleweje umeshajua unataka nini kwenye maisha yako 🤔Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto
Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
Sawa mkuuSimple.
Mpe adress ya nyumbani apeleke posa.
Then maji na mafuta vitajitenga
😅😅Nmependa hiiKwani ukiingia cha kiume kuna shida gani? Vyote ni vyoo tu
BadoWewe umesema hutaki kuendelea naye kwa sababu ana mtoto, at the same time unataka kujua kama ana maanisha swala kukuoa au anakuigizia, Tukueleweje umeshajua unataka nini kwenye maisha yako 🤔
Je, wewe ndoa ni kipaumbele chako ?! Kama ndio kubali and the vice versa.Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto
Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
Sio muhimu ila naona inaweza kuwa bahati kwangu imefika mlangoniJe, wewe ndoa ni kipaumbele chako ?! Kama ndio kubali and the vice versa.
Kama kwako ndoa ni bahati ndio umuhimu wenyewe...Sio muhimu ila naona inaweza kuwa bahati kwangu imefika mlangoni
Ila sipo tyrKama kwako ndoa ni bahati ndio umuhimu wenyewe...
Unakataa nini?