Nisaidieni kujua kwanini huyu kaka kaniganda kwa miaka minne

Nisaidieni kujua kwanini huyu kaka kaniganda kwa miaka minne

Tanzania story nyingi huwa ni za mapenzi, hivi hatuwezi kuzungumzia mambo mengine ya msingi, yanatufanya tuishi na kufikiria future yetu! Kila siku mapenzi mapenzi! Hii nchi hatari sana
 
Tanzania story nyingi huwa ni za mapenzi, hivi hatuwezi kuzungumzia mambo mengine ya msingi, yanatufanya tuishi na kufikiria future yetu! Kila siku mapenzi mapenzi! Hii nchi hatari sana
Kama unataka future nenda ulaya🙂‍↔️
 
Kakupenda.

Kwani kuna wanawake wangapi mtaani wenye kiu ya kweli kwa mahusiano ya ndoa, hajawaona, kwanini wewe tu, haujiulizi?

Wee endelea na msimamo wako huo usio na mashiko, akichoka kukufuatilia, upendo wake kwako utadrop na kufanya maamuzi mengine.
Naam ahamue tu kuolewa na huyo jamaa,vinginevyo akifikisha tu thirty,atahitaji yoyote yule alimradi ni mwanaume.
 
Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto

Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
Muda wote huo wewe hujapata wa kwako? Ushauri wangu: Unataka mpaka likupate jambo gani ili ujue huyu ni tapeli? I mean kitendo cha kukuficha kuwa ana mtoto huoni ni jambo serious sana sana na ni red flag ambayo hutakiwa kuipuuza?
 
Muda wote huo wewe hujapata wa kwako? Ushauri wangu: Unataka mpaka likupate jambo gani ili ujue huyu ni tapeli? I mean kitendo cha kukuficha kuwa ana mtoto huoni ni jambo serious sana sana na ni red flag ambayo hutakiwa kuipuuza?
Duh
 
Back
Top Bottom