Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
usisahu na pilipili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usisahu na pilipili
fanya chapu sasa sisi sote wapya 😘😂😂😂😂😂😂😂😂Nakuja 😁
Eiiii bitter truth😭Kama anakutafuta baada ya mda anaacha then anaanza tena kukutafuta .huyo anataka kukutafuna/kukukula tu.
Mwanamme wa hivyo atakuwa na mahisiano sehemu yanayompa Raha. Wala wewe sio.
Leta posa😅ndo niamini hunitapelifanya chapu sasa sisi sote wapya 😘😂😂😂😂😂😂😂😂
Sasa huyo mwenzake kashaolewa..Tunaposema usianze maisha na single mother huwa si kwamba masingle father hatuwaoni ila tu ni nadra kukutana na kesi zao.
Ipo hivi,wewe ni binti mbichi ambaye hauna mtoto kwa sasa na ndio opportunity yako ya kujenga maisha. Why uanze na mtu ambaye alishatengeneza mfumo nje ya ndoa na mwanamke mwingine na tena wana mtoto kabisa.
Huyu mtoto atakuja kuwa contradiction kwako na huyo jamaa. Jambo lingine huyo jamaa amekufuatilia kwa muda wote huo ili iweje sasa?
Me nadhani anataka kuleta mazoea na wewe fanya kama kukaa nae kitako bila kumkwepa na umwambie kwa uwazi ni kwasababu gani hauwezi kuwa nae tena sababu kuna vitu vimeshatokea na vitawarudisha nyuma sana na kuwaletea mkaranganyiko kama mtaanza uhusiano.
Hilo sio jambo la ugomvi wala kurumbana its simply maelewano na hauna haja ya kuhofia au kuwa uncomfortable kuwasiliana nae huku ukiweka misimamo yako na mipaka kwake.
Na jambo lingine,tafuta mahusiano yako rasmi ambayo yatakupa heshima ili wahuni kama hao wasikusumbue.
Yeye ameshazaa anataka wewe ukaanze mahusiano na yeye wakati ubaoni tayari ameshafunga?
Tafuta tu mtu mwingine na yeye atafute mwenzake wakachanganye familia walee watoto.
Ukubwa wake unamzidi tembo?Umri wangu ni mkubwa kidogo
Mwenyewe siweziMambo yenu malizaneni wenyewe, mlivyopeana mnajua wenyewe
Wa kawaida tuUkubwa wake unamzidi tembo?
Kama sungura au simbilisi?Wa kawaida tu
😅😅Hapana mkuuKama sungura au simbilisi?
Akatafute single mother wayajenge maana wewe hamtawezana.Sasa huyo mwenzake kashaolewa..
Hio hoja imenifungua akili shukran
Hivi Ata kama niwewe ukute kisa Aki utabaki mwanangu kwanza hao ni kimoko tu🤣
sio kweli 😊Ukimkubalia utalia....atafidia mateso yote uliyompitisha
Sasa unadumbua jukwaa kwanini?!Ila sipo tyr
🤣🤣🤣 Ogopa sanasio kweli 😊
🤣🤣KhaaaWewe ni binti wa kike kivipi ?rafiki yangu😊😊😊😊