Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
Yeah halafu sipendi kukuona ukilia hadharani😂Au sio😭
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah halafu sipendi kukuona ukilia hadharani😂Au sio😭
Kumbuka ulicho mfanyia mtoto wa mwanamke mwenzako mpaka asikii haoniNataka wazo lako nichanganye na langu nipate jibu
Hata mimiMimi sijui.
Binti wa kike una vibweka.Umri wako ni miongo mingapi?Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto
Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
Hio swala la mtoto tulizumgumza na alisema mtoto amekaa sana kwa bibi yake sio rahisi amtoe paleFanya unalolisikia moyoni mwako na siyo kwa kutaka kumuhurumia kama anavyotaka yeye,huku ukijua kuwa furaha ndoa itakuwa yako na machungu ya ndoa ni yako mwenyewe na ikishafungwa ni pingu isiyofunguka.
Mwenye kusuka ama kunyoa ni we we mwenyewe,na inavyo onekana hauko tayari kulea mtoto ambaye siyo wako kitu ambacho alitakiwa kukupa taarifa mape kuwa ana mtoto na anataka akuoe ili uamue we we kama ukaolewe hivyohivyo.
Ushari wangu kwako mwambie kuwa kwa kuwa we we unamtoto wa nje ya ndoa na Mimi ninaomba unisubiri kwanza nitafute mtoto wa nje ya ndoa nikipata mtoto wa nje ya ndoa ndio tuoane,we we uje na mtoto wako wa nje ya ndoa na Mimi nije na mtoto wangu wa nje ndoa hapo tutakuwa sawa.
Hongera sana Ndugu binti wa kike. Hapo umepata mtu anayekupenda. Mkubalie awe mumeo. Huyo jamaa yuko serious. Kuhusu mtoto ni kawaida sana kwa mwanaume. Mimi ni kijana mdogo wa miaka 38 ila nina mdogo wangu wa damu mwenye miaka miwili na nusu.Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto
Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
hapana kwakweli, mi napenda KEI mnato tu. hizo za mishangaz nawaachia mianko.Ntakuwa mshangazi wako
Umri wangu ni mkubwa kidogoBinti wa kike una vibweka.Umri wako ni miongo mingapi?
Asante kwa pongeziHongera sana Ndugu binti wa kike. Hapo umepata mtu anayekupenda. Mkubalie awe mumeo. Huyo jamaa yuko serious. Kuhusu mtoto ni kawaida sana kwa mwanaume. Mimi ni kijana mdogo wa miaka 38 ila nina mdogo wangu wa damu mwenye miaka miwili na nusu.
Mpaka anakuja kuuliza apa jukwaani manake hayupo tayari kuolewa nae au hajawa na msimamo.Olewa shauri yako usine ukawa gazeti la jioni miaka inasonga na value yako inashuka
😭zipeleke kwa miss zitapetiwa huko
Nafanya research ndo nije na jibu langu ...sitaki kufanya uamuzi usio sahihiMpaka anakuja kuuliza apa jukwaani manake hayupo tayari kuolewa nae au hajawa na msimamo.
LAbda tumshauri wazagamuane tuuu
Typing errorHivi kwani kunabinti wa kiume?
Pisi ntakayoitakapisi gani..?
Kama unataka mnato mfuko wako unaruhusu?!hapana kwakweli, mi napenda KEI mnato tu. hizo za mishangaz nawaachia mianko.
sawaPisi ntakayoitaka
wewe ni mtu mzima toa ushauri huyu ni kama binti yako!, unataka akina kenzy tumbebe tukamtofoetofoe...??Utajua mwenyewe.
😅😅😅😅Utakuwa ni kitu mnato wewe