Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
- Thread starter
- #221
Eh 😭😅sawa mkuuHapo utaliwa tu then upigwe chini kama mwenzako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eh 😭😅sawa mkuuHapo utaliwa tu then upigwe chini kama mwenzako
Ni mpole mno au wapole wanakimbia piaKama aliwahi kukula inawezekana kachizika na papuchi yako, kama hajawahi kukula basi akila papuchi tu huyo anakimbia.
Nipe namba yako nikwambie kitu
Mimi pia mpole lakini nikila papuchi njia niliopita hutaiona.Ni mpole mno au wapole wanakimbia pia
You hit and runMimi pia mpole lakini nikila papuchi njia niliopita hutaiona.
Naunga mkono hojaKwani kuna binti wa kiume?
Safi sana mkuuNaunga mkono hoja
SawaNjoo nikupe semina mrembo
Sasa si umwambie akajitambulishe kwenu.Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto
Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
Hii nayo kweli maana anaulozaga kama nampenda ila namzungusha kumpq jibuMwenzako anajua unampenda ila hutaki ndoa tu.
Sasa hivi huko Daslam wako mkuu. Mleta uzi yuko amepunguza maswaliKwani kuna binti wa kiume?
Binti maana yake nini?Sasa hivi huko Daslam wako mkuu. Mleta uzi yuko amepunguza maswali
Si ndiooSio eti tutapendana mbele ya safari😅
😂Kwani kuna binti wa kiume?
mpe awezi kuondoka nacho, sasa nimeelewa kwanini jamaa anakuganda.Hatukuwai fanya mapenzi adi Leo hhii
Huu ni upotoshaji, upuuze 😂Hapo anatafuta kile anachokisumbukia kwa muda mrefu akisha kipata 😂😂😂😂😂 utaona vumbi tu mpendwa
Ananikubali kinoma😁mkaka wa watuSi ndioo
Ila kwa anavokutafuta ivo sijui ulimpa nini🙌😄
Hali hivi hivi alete posaHuu ni upotoshaji, upuuze 😂
Acha kaka wawatu ale matunda ya upambanaji wake