Nisaidieni kujua kwanini huyu kaka kaniganda kwa miaka minne

Nisaidieni kujua kwanini huyu kaka kaniganda kwa miaka minne

Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto

Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
Sasa si umwambie akajitambulishe kwenu.

Nilichoelewa unataka jibu la je, anataka kukuoa kweli ama la.
Ila hujasisitiza kama uko serious ma kumkataa kwako

Mbona jibu jepesi, mwambie akajitambulishe kwenu, na mshenga aambiwe na mahari, hadi akifika huko utajua kams ana dhamiria.

Ila kama humtaki si umchane humtaki, unamchanganya unavyosema hutaki ndoa, mwezako anajua unampenda ila hutaki ndoa tu.
 
Back
Top Bottom