Nisaidieni kujua kwanini huyu kaka kaniganda kwa miaka minne

Nisaidieni kujua kwanini huyu kaka kaniganda kwa miaka minne

Kuna kademu nilikafukuzia sana kakawa kanaringa sana maana kipindi hicho kalikuwa kanatongozwa sana.

Nikachoka nikaamua nikapotezee aise tukapotezana kama mwaka da juzi nimekutana nako juzi kameshazalishwa na kamekonda vibaya sans mpaka huruma.

Kakaanza kunichekea nilikasalimia kama sikajui.huku kanaona aibu.yani kamefuria mpaka kamekausha.

Funzo, nyie wanawake acheni nyodo na kujiona jumlisha na dharau.muda wenu ni mfupi sana .

Wewe mtoa mada wewe endelea kumringia jamaa miaka kadhaa mbele utaita wanaume wote ni mbwa
.
 
Kuna kademu nilikafukuzia sana kakawa kanaringa sana maana kipindi hicho kalikuwa kanatongozwa sana.

Nikachoka nikaamua nikapotezee aise tukapotezana kama mwaka da juzi nimekutana nako juzi kameshazalishwa na kamekonda vibaya sans mpaka huruma.

Kakaanza kunichekea nilikasalimia kama sikajui.huku kanaona aibu.yani kamefuria mpaka kamekausha.

Funzo, nyie wanawake acheni nyodo na kujiona jumlisha na dharau.muda wenu ni mfupi sana .

Wewe mtoa mada wewe endelea kumringia jamaa miaka kadhaa mbele utaita wanaume wote ni mbwa
.
Ntakufata ata ww
 
Habari zenu Wana Jf naomba nieleze kwa ufupi ...Mimi ni binti WA kike ila Kuna mkaka nilikiwa nae kwenye mahusiano nikiwa sekondari ila nlimuacha baada ya kugundua alinificha kuwa alikuwa na mtoto

Mara kadhaaa tangu kuachana nae amekuwa akinitafuta kwa miaka minne tokea 2020 na kusem kuwa anatka kunioa ila kila akinitafuta namwambia sipo Tyr kwa ndoa ...nikmwambia sitaki ndoa anakubali kabisa hatnisumbua tena ila baada ya siku kadhaa bado anarudi na lile lile swala lake la kunioa ..
Je huyu mkaka atakuwa amemaanisha kunioa au anataka kuniigiza Cha kiume?!
Mripoti kwa Dorothy Gwajima asap
 
Back
Top Bottom