It sounds truuWanawake ni snichers sio wa kuamini haraka, akikuambia I miss u muuliza umemiss kipi hasa kutoka kwangu mimi au wallet yangu......hakuna love hapo bongo ni wizi mtupu nakupoteza mda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It sounds truuWanawake ni snichers sio wa kuamini haraka, akikuambia I miss u muuliza umemiss kipi hasa kutoka kwangu mimi au wallet yangu......hakuna love hapo bongo ni wizi mtupu nakupoteza mda.
Kwakweli dada ajitafakar tuhuu ni ukweli mchungu mwamba kapata kipoozeo cha uhakika ata akikaa kimya baada ya mda atampata tu.
We ni kipozeo chake Cha nyege Ila mpenzi wake ni mtu mwingine na anakufanyia hivo maana kakuona mwepeeeesiHivi mwanaume unakuwaje hueleweki, ulikua na crush na mdada wa watu mwaka mzima mkavunja ukimya mkawa kwenye mahusiano.
Badae unaanza kubadilika unapunguza mapenzi, mwenzio anakuuliza kwanini unabadilika, unadai unaogopa udate naye hata miaka mitatu alafu usimuoe, na mtu hata hajakuambia anashida na ndoa na wewe ni upendo tu na kutaka kuwa na mahusiano nawewe, anakuuliza basi akupe space maybe utampenda badae ukasema huwezi.
Basi mtoto wa watu akaona ajiweke pembeni mapema japo inauma, sasa cha ajabu kila anavojiweka mbali unamwambia kakukasirikia, na hapo hapo akikuambia anakupenda unamjijibu acha hizo.
Sasa huyu mtu nimuweke kundi gani jamani, nilishampotezeaga mwezi mzima na namba nikafuta cha ajabu ye ndo akarudi na gia ya umemaliza kuninunia Nikasema heee kumbe nilinuna.
tatzo wakumfariji ndio huyo anaemuumiza atumie akili tuKwakweli dada ajitafakar tu
Mvumilie wanaume ni wachache na katika hao wachache wengi wameoa tayari unamuacha leo Kesho anabadilika anakuwa mtu smart anachukuliwa na wengine the easy thing is to stay with him forever.
HakikaKujirahisisha na kumganda hivyo, labda ukiri kuwa una mvuto wa kawaida sana na kutongozwa kwako ni adimu, kwa nnavyowajua mademu pisikali kumnata mwamba lazima awe vyedi kwa wallet, au wewe siye