Nisaidieni kuwaelewa Wakenya!

Nisaidieni kuwaelewa Wakenya!

it is just pretty simple. In kenya kiswahili is the national language whereas English is the official language

An official language is a language that is used for official/formal purposes in a country. Government documents, legal proceedings, police reports, business contracts, that sort of thing.

A national language is a language that is symbolic of that country, usually for historical, cultural, and ethnic reasons.

Very well said and articulated.
 
Mradi ujumbe umemfikia aliyelengwa...Sio Kenya pekee yake...Kuna inchi nyingi hutumia zaidi ya lugha moja as official languages..eg Canada,Rwanda etc
Sio "inchi" ni nchi.
 
Watu Wa mataifa ya nje wanaoishi Kenya ni Wengi hasa wazunguu.. Ambao wengi wao wanamiliki ardhi kubwa ya Kenya na hivyo wamefanywa kua moja ya RAIA Wa Kenya japo lugha ya kiswahili bado hawaielewi vizuri.. Kwahiyo kwenye masuala yanayohusu taifa kwa ujumla ni lazima watumie lugha ya kiingereza na kutumia lugha ya kiswahili kama wazungu wako excluded au hilo jambo linawahusu zaidi wakenya wenyewe
Hii sababu yako ya kubadili lugha sababu ya wazungu ni ya kitumwa na kinyonge hivi trump anaweza kubadili lugha ya hotuba kisa kuna wanaijeria hawatamuelewa au waethiopia?? Acha utumwa wa fikra.

Moja ya masharti ya visa application za mataifa mengi ya ulaya ni kuelewa ipasavyo lugha yao ili kupata visa ya kuingia nchini mwao.
 
Wa tz washezi sana wajui Kenya 2najua lugha tatu
Unajua lugha tatu kiswahili kikiwemo? Sababu hapo tu umeandika broken Swahili

Wakenya tukianza kusahisha kiswahili chenu kichafu mnachokiandika hapa jukwaani hamtachangia sababu everytime you are speaking broken and awkward
 
Mtoa mada huwa unakurupuka na hii hoja ya lugha, kila mara ukianzisha huwa tunakujibu halafu unasubiri miezi michache unarudia yale yale maneno.

Kenya tunafundishwa Kingereza kuanzia chekechea hivyo sio tabu, ila cha msingi tunajivunia uwezo wa kuongea lugha nyingi, hatujafungiwa kwenye lugha moja kama kondoo na mbuzi.

Tunaongea lugha zetu za asili, na pia tunaongea hizi na kuletwa kama vile Kiswahili cha Mwarabu wakati alikua anawabaka Waafrika na Kingereza cha Mzungu.

Hamna kitu kitamu kama kuwa na uwezo wa kubadilisha badilisha lugha, inaongeza hata uwezo wa kufikiri, ukizoea lugha moja unaishia kuwa limbumbumbu fulani hivi. Hata nchi za Ughaibuni kama vile Marekani, utakuta wengi wanaongea Kingereza na lugha zingine tano hivi.
Makubwa kiswahili ni kiarabu
 
mleta mada ni mkurupukaji wa ajabu na hakukosea aliposema "Tanzanians are obsessed with kenyans" period!!!!
But you went extra miles on us
unnamed-1.jpg
images.jpg
IMG_20171205_065927.JPG
IMG_20171205_065817.JPG

These are just samples you have tons of them
 
kwa sababu Kiswahili pamoja na Kiingereza ni lugha za taifa...Kiingereza kinazungumzwa sana haswa Nairobi.....in Fact, shuleni Kiingereza kimetiliwa maanani hata kuliko Kiswahili....mfano, nilipokuwa shule, tulikuwa tunakubaliwa kuzungumza Kiingereza kwa siku nne kati ya tano kwa wiki... kila ijumaa ilikua siku ya Kiswahili...ukikiuka sheria hii utajipata pabaya...tulikuwa tunachapwa sana kwa sababu ya kuzungumza kiswahili katika siku zile nne za Kiingereza...
 
Unajua lugha tatu kiswahili kikiwemo? Sababu hapo tu umeandika broken Swahili

Wakenya tukianza kusahisha kiswahili chenu kichafu mnachokiandika hapa jukwaani hamtachangia sababu everytime you are speaking broken and awkward
Even you, can write broken English
 
Binafsi sijawahi kuwaelewa, kwa mfano Raisi wa Kenya au Kiongozi wao yoyote akihutubia Taifa la Kenya anatumia English, lkn akifanya kampeni za kisiasa anatumia Kiswahili, au hata akiwa nje ya nchi na kuongea na Wakenya diaspora huo anatumia Kiswahili, sasa kwa nini? Kuna anayeweza kunisaidia hii paradox? Kwa mfano Raisi wao kaapishwa kahutubia Taifa english, lkn akiwa anatafuta kura anatumia Kiswahili, sasa kwa nini?
Ana akili nyingi ndio maana
 
Cha kushangaza...we politician)coz is friend to raila.....and that car is an art base in mombasa..soo..leave has alone coz we only know.bongolalals songs
Hahaha kwani Mombasa sio Kenya?? Na gormahia ni Mombasa??
 
Sisi 2najua...kapombe.pekee.na.bongolalas songs.........nyinyi mnajua hata MCA iyo c.ni ufala
I know MCA from the Definition. MCA. Micro Channel Architecture (IBM system bus)MCA. Middle Cerebral Artery.

This is known worldwide
 
Sisi 2najua...kapombe.pekee.na.bongolalas songs.........nyinyi mnajua hata MCA iyo c.ni ufala
Hadi wanamfahamu gavana wa kwetu, Ole Lenku. Hii nayo imezidi obsession sasa ni stalking. Wanafatilia yote hawana mipaka hawa jamaa.
 
I agree with you on this one...Being conversant with one international language and a regional language is actually a plus. The whole (most) world uses at least one international language...The ease of use and switching from one language to another is a good thing. There is a sizable population of English speakers as there are Swahili speakers in Kenya....Sio lazima ufasaha uwepo katika hizo lugha mradi ujumbe umefika...
Either you don't get the point or you force not to get the point, the issue is not to understand many language but is the government to use its national language, as one of the contributors says, even in USA, they understand many languages over there, but the national language of USA is english and the government of USA uses english in all activities, doesn't mean that they only understand english.
 
kwa sababu Kiswahili pamoja na Kiingereza ni lugha za taifa...Kiingereza kinazungumzwa sana haswa Nairobi.....in Fact, shuleni Kiingereza kimetiliwa maanani hata kuliko Kiswahili....mfano, nilipokuwa shule, tulikuwa tunakubaliwa kuzungumza Kiingereza kwa siku nne kati ya tano kwa wiki... kila ijumaa ilikua siku ya Kiswahili...ukikiuka sheria hii utajipata pabaya...tulikuwa tunachapwa sana kwa sababu ya kuzungumza kiswahili katika siku zile nne za Kiingereza...
Hapo ndipo tatizo linapoanzia, ndiyo sababu tunasema Kenya is a confused country, kwa kufanya hivyo ni wazi kwamba serikali ilikuwa na lengo la kukuza kiingereza na kukishusha kiswahili, na haya ndiyo matokeo yake. Huku Tanzania tulifanya kinyume na Kenya, ni siku moja tu kwa juma ndiyo ilikuwa huruhusiwi kuzungumza Kiswahili, hivyo tulikithamini sana Kiswahili na tulijivunia kiswahili kuliko kiingereza kwa sababu hiyo ndiyo lugha yetu ya Taifa, Kenya ilifanya jitihada za makusudi kukifanya kiswahili kiwe second language huku serikali ikijua kwamba ndiyo lugha ya Taifa.

Kumbuka nchi nyingi duniani huwa zinatumia lugha zaidi ya moja, Tanzania katiba yetu inazitaja lugha ya Kiswahili kama lugha ya taifa, na english kama lugha rasmi ya mawasiliano, ndiyo sababu documents karibu zote za mahakama bado zipo ktk lugha ya kiingereza, medical documents, scientific documents zote zinatumia english, lakini huwezi kuifanya second language, ambayo kimsingi hata huko Kenya ni mpaka mtu aende shule ndiyo aweze kuifahamu vizuri, iwe ndiyo inayotumika nchi nzima, jamii za wafugaji, wavuvi na kundi kubwa ambao hawakusoma utawasiliana nao vipi?
 
Iwe Kiingereza iwe Kiswahili huwezi shurutisha wakenya waongee lugha unayotaka wewe. Wana akili zao na wataongea lugha wanayoitaka wao. Kwangu dhambi kuu kama mwafrika ni kukosa ufahamu ikija kwenye lugha ya Mama, lugha ya babu zako. Mwafrika yeyote yule asiyejua kuongea lugha yake ya asili ajue kwamba yeye ni maandas. Kama rais Mwai Kibaki alivopenda kusema, mavi ya kuku wewe, bure kabisa!
 
Back
Top Bottom