Nisaidieni kwa wote waliooa na kuolewa

Nisaidieni kwa wote waliooa na kuolewa

Meleta mada, unataka kuolewa ila una malengo yako na sio ya familia ya wewe na huyu mumeo mtarajiwa,
Kwenye hayo malengo yako yatakuwa yanamfaidisha nani, wewe, mumeo, au familio uliyotoka!?
Kama malengo yako yatakuwa na conflict of interest na ndoa bora usiolewe
Maana nahisi unataka huyu mume awe daraja la kufikia hayo mafanikio alafu ulale mbele.
Ukiolewa hakuna malengo yako, ninmalengo ya familia ya yenu (wewe,mumeo na watoto) sio vinginevyo, nje ya hapo ndio migogoro kila siku. Ukitaka hivyo tafuta mume zwazwa
Nafta malengo yangu ili nkifanikiwa awe amenufaika na yy
 
Muhimu ni kujua hi yu o ndoto ikitimia inaenda kuwafanya imara pamoja au kiwatenganisha. Aidha, ni muhimu kuzungumza pamoja namna bora ya kutimiza ndoto husika. Mwisho never forget nafasi yako kama mke = kumtii mume
Asante
 
Unataka kujaribu au uko serious! Ndoa ni zaidi ya kuamsha miguu mdogo wangu,maana usiwaze kile chakula tu cha usiku..nina imani huyo anayetaka kukuona unamjua vizuri,kama ndivyo usingekuja na hii hoja hapa,unless unabahatisha! Uamuzi ni wako!
Bado sijaamua nawaza hapa
 
Mwanamke anapoolewa huwa anashikamana na vision ya mwanaume. Ukienda kwenye ndoa na vision zako kuna uwezekano. mkubwa ndoa ikakushinda. Hata kama unamalengo ni vema ukamshirikisha mumeo katika namna nzuri. Hii itakusaidia kuilinda ndoa yako
 
Back
Top Bottom