Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
- Thread starter
-
- #221
Nafta malengo yangu ili nkifanikiwa awe amenufaika na yyMeleta mada, unataka kuolewa ila una malengo yako na sio ya familia ya wewe na huyu mumeo mtarajiwa,
Kwenye hayo malengo yako yatakuwa yanamfaidisha nani, wewe, mumeo, au familio uliyotoka!?
Kama malengo yako yatakuwa na conflict of interest na ndoa bora usiolewe
Maana nahisi unataka huyu mume awe daraja la kufikia hayo mafanikio alafu ulale mbele.
Ukiolewa hakuna malengo yako, ninmalengo ya familia ya yenu (wewe,mumeo na watoto) sio vinginevyo, nje ya hapo ndio migogoro kila siku. Ukitaka hivyo tafuta mume zwazwa
AsanteMuhimu ni kujua hi yu o ndoto ikitimia inaenda kuwafanya imara pamoja au kiwatenganisha. Aidha, ni muhimu kuzungumza pamoja namna bora ya kutimiza ndoto husika. Mwisho never forget nafasi yako kama mke = kumtii mume
Bado sijaamua nawaza hapaUnataka kujaribu au uko serious! Ndoa ni zaidi ya kuamsha miguu mdogo wangu,maana usiwaze kile chakula tu cha usiku..nina imani huyo anayetaka kukuona unamjua vizuri,kama ndivyo usingekuja na hii hoja hapa,unless unabahatisha! Uamuzi ni wako!
Hakuna kitu kama hicho, tulia tu usiolewe. Hayo malengo kamilisha ndio uolewa hakuna daraja hapoNafta malengo yangu ili nkifanikiwa awe amenufaika na yy
AsanteHakuna kitu kama hicho, tulia tu usiolewe. Hayo malengo kamilisha ndio uolewa hakuna daraja hapo
Toa wazo
Sawa mkuuAsante
DuhUkiolewa kubali kutoa kinu itwangwe kila siku, mambo ya kubania na kuleta habari za malengo NO. Malengo unataka uwe nani, minister?